Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
πππ Unazo ngapi nikupe mtu wa kumuuzia kwa rate nzuri.Nakoendaga hawawezi nifanyia hiyo roho nzuri najua watanigongelea hapo kwenye 2740 mbuzi wale ningesave hata laki kasoro
Huyo anamjua lamomy na sumbai tu mkuuNi nani huyo nitajie hata kwa code nitamjua
Walete code aiseeHuyo anamjua lamomy na sumbai tu mkuu
Bana mzigo wako nimetumiwa ππHahaha
Wanakuibia Hao mchuchu.
Wewe ndo utakua wa kwanza na mwisho
Nafanya malipo, sasa nakofanyia ndo wananibana kwa kutumia bei ya mtaaniπππ Unazo ngapi nikupe mtu wa kumuuzia kwa rate nzuri.
Kupiga soga tu, kuselfika ahh π€£π€£π€£Yani wewe ni maneno tu unatype picha akaaa
Odo mchuano ni mkali sana, umerudisha acha nimpe penalty shangazi πΉπΉπΉGate la mbinguni, utahadithiwa tu Odo haki tena. π π π π π
PoleNafanya malipo, sasa nakofanyia ndo wananibana kwa kutumia bei ya mtaani
Huu wangu ni luluBana mzigo wako nimetumiwa ππ
Huyu wewe kabisa ulimtumia inni nonino
We kwanini chino nakua king'ang'aniziUsiwatishe watu mi wa kawaida πππ
We mbaya sanaKupiga soga tu, kuselfika ahh π€£π€£π€£
Wee mbona kiatu kimoja kimebonyea ππTBT yangu 2015 ππ
View attachment 3107540
Ini kasema anatuma na video eti ππHuu wangu ni lulu
Kuona lazima ufanye kazi sana.
Tunautaka huo ukawaidaUsiwatishe watu mi wa kawaida πππ
Wewe na mashetani yako tu mmeamua kuwa vingβangβa π€£π€£We kwanini chino nakua king'ang'anizi
Nimewaambia nna mimba ππWe mbaya sana