Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
😂😂
Ila shangazi jamani mpk nimechukiwa na waasi kwaajiri yake… 😂😂Tumempambania sana Shangazi huyo
Sisi ndio majeshi yake ya faraja kipindi amebwagwa
Mualiko tu unaogopa? 😂
Babu mi naomba nikanunue mwenywe kuku nipike mchemsho😄Hahaha.........japo Wazee tuna msemo kwamba usimwage mchele palipo na Kuku wengi
Juzi niliposikia utakuwa mgeni wangu, si nikaandaa jogoo kwaajili yako Mjukuu, nimeishia kumnywa supu tu 😜
Hahaha...........Mwaka 47 niliwahi kupigwa na kitu kizito kupitia njia hiyo...Tatizo labda muamala haisomi.
Wewe tuma muamala just Kwa bahati mbaya... Uone watakavyo jaaaa
🤣🤣🤣Umenishinda tabiaIla shangazi jamani mpk nimechukiwa na waasi kwaajiri yake… 😂😂
Na mimi hii tabia ya kununua kesi ss hivi niache, nshakula ban nyingi kumkingia kifua shangazi.. nilimsaidia mpk kumfukuzia babu miga na mabakuli 😹😹😹
Ila kipindi kile nilikuwa mcharuko km nimetiwa petrol shangazi ilitakiwa anipe NSSF zangu 🤣🤣🤣
Sa unaogopa nini??
Ana mapepo huyo 😂😂😂Ila Countrywide 😂😂😂
Anafaa kwenda cheka2
Duh kitambo ngoja tumuiteMualiko tu unaogopa? 😂
Hivi jamaa yangu mulasil yupo wapi aisee
Ngoja tujiandae na kipindi Cha komboa familia Cha buldozer. Tuzidi kujizingiti na dada angu.😂😂😂 Basi nimeacha
Jmn nimecheka Leo🤣🤣🤣utawani🙌🙌Sa unaogopa nini??
Huyo nimekupaga wote wote mimi narudi utawani 😂😂😂
Unapenda kujipa umuhimu wewe nani a download pic mbaya kiatu kimebonyea sijui vile vya tandale saa 11 alfajiri 🤣🤣🤣Uliye download picha yangu ulaaniwe sana yaani sana
Kama upo around nipe namba ya Wakala Mjukuu 🤗Babu mi naomba nikanunue mwenywe kuku nipike mchemsho😄
Kwa hiyo bro, crispy fish fillet ndo hizoo 🤣🤣🤣View attachment 3107560
Wameungua lol 😂 😂 😁 😁
Shangazi km Man City analinda ubingwa wake 😂😂😂Ndio tunamalizia ubuyu hapa tuanze mambo ya maana.
Shangazi alikuwa anabalance mzani kwanza hapa
Shangazi ni namba moja wa wakati wote Kwa shepu🔥
Kama upo around nipe namba ya Wakala Mjukuu 🤗
Huyo Mzee mwenzangu ikifika usiku kama hivi anafunga kufuli, pamoja na kwamba tulipita wote jeshini Mwaka 47 amekuwa mwoga kidogo Kwa Wageni 😜Nakuja babu usiondoke nisubiri, hivi hadi ERoni kafunga pm, leo mmenipa kaziii
Anazuga 😂😂Eti anajidai hamjui Mkemia wetu