Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tayari ushajua haya weka sasa ๐๐Kitu gani? Ndevu?
Unapenda ndevu wewe ehโฆ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari ushajua haya weka sasa ๐๐Kitu gani? Ndevu?
Unapenda ndevu wewe ehโฆ๐
Monk kasema mzigo tayari katuma fanya unipe mahi dhuluma sio nzuri ๐น๐น๐นHalafu wanaokumbukwa ndo wanapataga nyingi ujue kuliko wale wanaopewa
Huwezi amini sijamuona mpaka saiv nakaribia kufunga na geti languMonk kasema mzigo tayari katuma fanya unipe mahi dhuluma sio nzuri ๐น๐น๐น
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Nkamu
Kwa mafao nadhani mimi nimekuzidi aiseee
Ndio njoo ule ๐Kwa hiyo bro, crispy fish fillet ndo hizoo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
NkamuNkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! ๐๐๐
Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua woteโฆ na shemeji nimemrudisha famchezo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
Umekumbuka kumeza dawa za kisukari na presha!Nimeshalala mjukuu wangu
Nyie mlikuwa mnaplay team zote ๐๐Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
๐๐๐ Ila monk nilivyomshawishi kapeace afungue pm na ujeuri wake halafu unajishaua?!! Em nilipe kwanza ndio ulale ๐นNimeshalala mjukuu wangu
Babu yakko muoga huyo kanizidi mbali, tumuache nitamcheck kesho asije kupandisha presha bure๐๐๐ Monk ameanza lini utapeli
Yani nilivyompigia debe mpk umefungua pm halafu hajakutafuta kweli? ๐น๐น๐น
J'3 jeuri zinarudi kama kawa wiki hii wamepumua kina mwanafulani๐๐๐ Ila monk nilivyomshawishi kapeace afungue pm na ujeuri wake halafu unajishaua?!! Em nilipe kwanza ndio ulale ๐น
Naangaliaje wakati mm ndio nacheza hizo๐๐Countrywide njoo tuangalie x punguza dislike ๐คฃ๐คฃ๐คฃ