Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nkamu
Kwa mafao nadhani mimi nimekuzidi aiseee
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua woteโ€ฆ na shemeji nimemrudisha famchezo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
 
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua woteโ€ฆ na shemeji nimemrudisha famchezo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
 
Imeisha hiyo, huyo mbabu mwambie mi nafunga kabla ma ๐Ÿ• hayajaingia๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ The Monk
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Monk ameanza lini utapeli
Yani nilivyompigia debe mpk umefungua pm halafu hajakutafuta kweli? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
Nyie mlikuwa mnaplay team zote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli ๐Ÿ˜น
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Monk ameanza lini utapeli
Yani nilivyompigia debe mpk umefungua pm halafu hajakutafuta kweli? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Babu yakko muoga huyo kanizidi mbali, tumuache nitamcheck kesho asije kupandisha presha bure
 
Back
Top Bottom