Nimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yaniBl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! π
Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu πΉ
Wifi? π³Ipi iyo uliyoiona ili nisije irudia hapa.
I cant imagine ulivonoga leo
Embu nikuone nifurahi na wifi yako hapa.
Selfika mrembo Palina nikuone πmselfike jamani hii weekend π€π€π€
Kwani ulikuwa wapi mpk umechoka hivyo πNiko hoi
Hata nguvu za kuselfika ninazo basi kuna yoyote aliyetupia?
Dollar ziko wapi? πNimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yani
πππweekend leo ujue, halafu voda leo km umepakwa futa na yule mmarekani wa kuitwa didyKwani ulikuwa wapi mpk umechoka hivyo π
Walikubali hiyo hiyoDollar ziko wapi? π
Hivi ulikatisha kwa ngapi? Walikubali kwa 2740?
Mke wa tajiriiiiiiii shem sijamuona leo
Wifi yako mnywani.Wifi? π³
Chino nitaacha sherehe nije kupigana ujue πππ
Yani nishapata replacement mapema hivi?! πΉ
πππ Pole voda wanazingua kweliπππweekend leo ujue, halafu voda leo km umepakwa futa na yule mmarekani wa kuitwa didy
Leo wanaboa na hizi simu zenu za line moja itabidi nirudi kwenye infinixπππ Pole voda wanazingua kweli
Hapo kwenye babu ndio unamtibua shem π€£π€£π€£Walikubali hiyo hiyo
shem kapumzikia wapi sijui kajifungia mwenyewe, hata hivyo nimepona asiogope, The Monk nimepona asante kwa kujali babu yangu
Ndivyo atakavyo sasa kuitwa babu, nachojua mababu wote wana maokoto, ndo vile mlango haufungukiHapo kwenye babu ndio unamtibua shem π€£π€£π€£
Shem bado kabisa damu inachemka huo ubabu kautoa wapi?
Hapo sawa π€£π€£Wifi yako mnywani.
Naye kamiss vitu vyako ujue.
Tena pametulia
Ingia live kabisa kama enzi zile
Nasikia ulitupia na mimi naomba nionemo kidevu tu kinatoshaShangazi la ukweli Hilo.
Mi natumia tekno macho matatu mahi πΉYa
Leo wanaboa na hizi simu zenu za line moja itabidi nirudi kwenye infinix
Ndio yake yapo kama plate za jiko, nilisoma sehemu ila watuuuuMi natumia tekno macho matatu mahi πΉ
Wewe unazuga hapa, mshafunguliana Milango na babu uko mnabebishana kwa raha zenu πNdivyo atakavyo sasa kuitwa babu, nachojua mababu wote wana maokoto, ndo vile mlango haufunguki
Nisingemtag hapo juu hata kunilike kaacha sijui nilimtisha nini,Wewe unazuga hapa, mshafunguliana Milango na babu uko mnabebishana kwa raha zenu π
Niungeni kwenye convo basi niwe nawaona mnavyosisitizana kunywa dawa za presha kwa wakati π€£π€£
Pisi ya kwanza jf kuiona inajikubali yenyewe mi ni mzuri ni hii lamomy KapeaceHapo sawa π€£π€£
Mwambie anipe mafao yangu.!
Subiri siku wakinga wavurugike naingia live na sauti utaisikia kabisaa.!!