Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Nimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yaniBl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! 😜
Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu 😹