Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! 😜

Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu 😹
Nimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yani
 
Ipi iyo uliyoiona ili nisije irudia hapa.

I cant imagine ulivonoga leo
Embu nikuone nifurahi na wifi yako hapa.
Wifi? 😳
Chino nitaacha sherehe nije kupigana ujue 😂😂😂
Yani nishapata replacement mapema hivi?! 😹
 
Nimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yani
Dollar ziko wapi? 😂
Hivi ulikatisha kwa ngapi? Walikubali kwa 2740?

Mke wa tajiriiiiiiii shem sijamuona leo
 
Wifi? 😳
Chino nitaacha sherehe nije kupigana ujue 😂😂😂
Yani nishapata replacement mapema hivi?! 😹
Wifi yako mnywani.
Naye kamiss vitu vyako ujue.

Tena pametulia
Ingia live kabisa kama enzi zile
 
Walikubali hiyo hiyo

shem kapumzikia wapi sijui kajifungia mwenyewe, hata hivyo nimepona asiogope, The Monk nimepona asante kwa kujali babu yangu
Hapo kwenye babu ndio unamtibua shem 🤣🤣🤣
Shem bado kabisa damu inachemka huo ubabu kautoa wapi?
 
Hapo kwenye babu ndio unamtibua shem 🤣🤣🤣
Shem bado kabisa damu inachemka huo ubabu kautoa wapi?
Ndivyo atakavyo sasa kuitwa babu, nachojua mababu wote wana maokoto, ndo vile mlango haufunguki
 
Wifi yako mnywani.
Naye kamiss vitu vyako ujue.

Tena pametulia
Ingia live kabisa kama enzi zile
Hapo sawa 🤣🤣
Mwambie anipe mafao yangu.!
Subiri siku wakinga wavurugike naingia live na sauti utaisikia kabisaa.!!
 
Back
Top Bottom