Hiyo jezi ya man U??The Weeknd I feel it coming ππView attachment 3110308
Leo, nimekosa juice ya tende....ππππ
πππππππHiyo jezi ya man U??
Hii timu inatumaliza nguvu
Umeanza lini ukorofi Mjukuu πBabu si ulisema mlikuwa wote rotana π
Bana mwambie anipitishie hizo cashew nuts ujue sijawahi kula za kwenye ndege πΉπΉ
Pitia unisalimie Babu yako, maana Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana Mjukuu π€Nipooooo wewe tu
PoleLeo, nimekosa juice ya tende....
Poaaa VMambo π
π€£π€£π€£πPole Mjukuu, ndiyo ufanye mchakato uje nikupatie hizo Korosho
Usisubiri hadi Likizo, omba ruhusa tu kwa Mkwe uje. Mwambie Babu na Bibi wamekuita Kijijini π
Hata mi naona ngoja niage πPitia unisalimie Babu yako, maana Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana Mjukuu π€
π€ΈποΈποΈHata mi naona ngoja niage π
Fresh tunaweza kupata kahawa jioni ya leo hapa kigamboni ππPoaaa V
Za ww
π€£π€£π€£π€ΈποΈποΈ
Uwe unasema mapema banaa ahhπFresh tunaweza kupata kahawa jioni ya leo hapa kigamboni ππ
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Jukwaani walikataa. Duka la vocha Jumapili limefungwa. Panapo uzima kesho tsapp kipenzi.[emoji3059]
Shusha picha kidogo kwenye dashboard nijue ni gari ganiπ
Siku hizi huna amani kabisa, huna rahaππππWeekend njema Guyzz!!
[emoji137][emoji137]