Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ombeni mtapewa
Aombaye hupokea.

Mimi na cocastic tuliomba hapahapa jukwaani
Tunaomba tajiri atuwekee pm ili wahuni wasije wakapita nazo hapa.


Tajiri amenitoa kwenye bando za miatano na buku[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tajiriii anatoaa vochaa kubwaa kubwaa hadi unaogopaaaa.
Tuliombaa hapaa, na Tumewekewaa PM.

Bantu Lady ishii sanaa luv, hunaa bayaaa, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Tajiriii anatoaa vochaa kubwaa kubwaa hadi unaogopaaaa.
Tuliombaa hapaa, na Tumewekewaa PM.

Bantu Lady ishii sanaa luv, hunaa bayaaa, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Huyu akimaliza mitano tuliyompa
Tunampa mitano mingine

Hana mbambamba tajiri mwenye roho yake ya kutoa🔥🔥🔥
 
Forever and always binti sayuni za masiku mingi??

Sikuhizi uliacha kabisa kuselfika jamani nimemiss naked zako fanya manuva uibles asubuhi yangu!
Mungu mwema, nashukuru Niko salama!

Hamna SI unajua mapito inachukua Muda kukaa sawa!

Sina picha mpya😄😊
 
Back
Top Bottom