Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Bantu Lady mbless huyu dada yangu mtumishi hanaga kweree, utabarikiwa zaidi😂Tajiri, boss akitoka ma sa100 unafuata ww😊😊😊
Ma mi naomba vochaa jmnaana napitwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bantu Lady mbless huyu dada yangu mtumishi hanaga kweree, utabarikiwa zaidi😂Tajiri, boss akitoka ma sa100 unafuata ww😊😊😊
Ma mi naomba vochaa jmnaana napitwa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watuu weuweeee.Kuna sehemu niliona unasifia anachofanya pdidy [emoji23]
Ungekua wewe angekua mpande juu mkacheki movie usingekataa? 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watuu weuweeee.
Ana roho nzuri sana aiseeAnaitwa B money
Omba tu wizo 😂😂😂😄😄Hakika ombeeni mtapewa
Anayetoa huwa anabarikiwa zaidiAna roho nzuri sana aisee
Jana nimemuombea sana Baraka za Mungu
Itakuwa mlikuwa mnadhani tupo Cheka2😂😂😂Mimi nilikuwa wapi aisee wakat tajiri yupo live
SanaAnayetoa huwa anabarikiwa zaidi
😂😂😂😂
Mi nipige tafu walinikariri
Hakuna kitu kigumu kama kuwa mtoaji, mm mwenyewe huwa najitahidi kutoa Ila Kuna muda nashindwa moyo unakua mgumuSana
Mungu aendelee kumbariki alipotoa,
Akamjazie pochi yake ijae na kufurika
Na Baraka zote za mwilini na rohoni zikawe sehemu ya maisha yake .
Kumbe wote Cheka2 tunaiweza😂😂Tajiri, boss akitoka ma sa100 unafuata ww😊😊😊
Ma mi naomba vochaa jmnaana napitwa tu
YahHakuna kitu kigumu kama kuwa mtoaji, mm mwenyewe huwa najitahidi kutoa Ila Kuna muda nashindwa moyo unakua mgumu
Km nakuona ambavyo ungeenda bila hata kuitwaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungekua wewe angekua mpande juu mkacheki movie usingekataa? [emoji23][emoji23]
😂😂😂😂
Mashallah mashallah.Morning wapendwa!
Muwe na Tues day njema
Amina, Amina 🙏🙏🙏 Ahsante sana. Barikiwa sana Saint Anne mtu akikuombea ni kitu kikubwa kuliko vyote. Napokea 🤲Ana roho nzuri sana aisee
Jana nimemuombea sana Baraka za Mungu
Hakikaa umeombewaa na wengiii, Barakaa zishukee juu yako km matone ya mvua ya mawee yadondokayo ardhini.Amina, Amina [emoji120][emoji120][emoji120] Ahsante sana. Barikiwa sana Saint Anne mtu akikuombea ni kitu kikubwa kuliko vyote. Napokea [emoji2969]
Amina 🙏Hakikaa umeombewaa na wengiii, Barakaa zishukee juu yako km matone ya mvua ya mawee yadondokayo ardhini.
Barikiwa sanaaa luv BL, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]