Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈 mrembo wangu Saint Anne umeanza 😅😅😅😅😅😅 haya Amina napokea IJN.Tajiriiii
Tajiri wa dunia
Tajiri wa jf
Tajiri wa selfikaa
Mrembo wa Dunia
Mrembo mwenye hela
Mrembo mwenye roho nzuri kama malaika
Siti yake mbinguni ipo
Beauty with money
The one and only Bantu Lady
Si unajua Mimi umri umeenda, nipo naendesha gari yangu ya Mwaka 47, Land Rover 110 😜Shusha picha kidogo kwenye dashboard nijue ni gari gani😂
Bantu mitano tena🔥🔥🔥🔥🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈 mrembo wangu Saint Anne umeanza 😅😅😅😅😅😅 haya Amina napokea IJN.
Umeona ilivyokuwa nzito na tamu!!! Safi sanaKapeace Leo nimejitahid kuchagua km ulivonielekeza😍View attachment 3111610
Sana yaani nzito mnoUmeona ilivyokuwa nzito na tamu!!! Safi sana
Ila coca 🤣[emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Tajiriiiiii BL
🤣🤣🤣Eeh jmn ni Mimi tu ndo napitwa na haya mamboBantu mitano tena🔥🔥🔥🔥
Tajiri kacheka
Tajiri katema mgodi
Naweka vocha hadi Voda wanauliza
Ndugu mteja,niwe wewe kweli?
Nimeipenda juice na kuchat zilivyo natural nzuri safi🥰Kapeace Leo nimejitahid kuchagua km ulivonielekeza😍View attachment 3111610
Ombeni mtapewa🤣🤣🤣Eeh jmn ni Mimi tu ndo napitwa na haya mambo
Hayaa Relaaaaxx,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi huna amani kabisa, huna raha[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]
Shangazii huu mkono wa naniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kapeace Leo nimejitahid kuchagua km ulivonielekeza[emoji7]View attachment 3111610
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Da Anne, una kirangaa weyeee, khaaah.Leo voda wamenitumia meseji ya bando langu la jero kuisha
Hata sina wasiwasi [emoji23][emoji23][emoji23]
Tajiri alicheka jana hapa meseji ya namna hiii kuja kuipokea ni baada ya wiki kadhaa huko mbele.
Bantu Lady mitano mingine kwake[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hapa ningeanza kuwaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Da Anne, una kirangaa weyeee, khaaah.
Ni Tajirii aliyenyoooka km [emoji423], hana mbambambaa.Ila coca [emoji1787]
Ni mtu na Robo 3. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Hapa aningeanza kuwaza
Natoa wapi tena jero ya bando.
Ukiingia tu IG lazima bando likate.
Bantu lady ni mtu na nusu[emoji91][emoji91][emoji91]
Halafu hana maneno mengiNi mtu na Robo 3. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Janaa kaniwekeaa vochaa ya mwezii, full kudeveleka machimboziii.
Weuweee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]