Wait.. anakuja ss hivi atakuwa busy na wawekezaji wenzie 🤣🤣🤣😂😂😂afanye niuone huo mkono wa bwana sio kwa masifa haya
😂😂😂 Subiri kuoga mipesa, sema usinisahau kwenye ufalme wako.!Babu G hebu ukuje nikukague sio kwa pambio hizi na mie nataka upako
Wewe tena siwezi kukusahau😂😂😂 Subiri kuoga mipesa, sema usinisahau kwenye ufalme wako.!
😂😂😂😂😂Hapo sijui itakuwa ya kiserikali 😂
Hapa wa kukomaa naye ni sele, shangazi anajiona kamaliza hawezi kutusikiliza mahi.!
😂😂😂😂😂😂😂 Subiri kuoga mipesa, sema usinisahau kwenye ufalme wako.!
Eti anasema anaogopa nitamfia katikati ya safari 😜🙌🤣🤣🤣 kapeace week ya 6 babu anakusubiri akupe urithi wa mashamba unambwela?
Ngoja wajukuu wengine wawahi shauri yako.!!
Njoo uniletee Kiko ili unisalimie vizuri Babu yako 🤗Babu G hebu ukuje nikukague sio kwa pambio hizi na mie nataka upako
Kama unakunywa 🍷, mwambie muhudumu akuongeze chupa nyingine bill juu yangu 🤗Mpige game moja mi refa, dawa za presha si unazo babu tatizo liko wapi? 🤣🤣🤣
Nilimwambia a-focus kwenye mambo mengine for now maana mchumba mwenyewe umekua kimya sana, ni kama ulimsahau!😒Usiniambie mdogo wako ushampea mwingine.
Nagamba nishalichukua kwa ajili ya safari
Labda nimselfishe yeye😂Iphone ya Lamomy si ipo?
Selfika na hiyohiyo.
Naona unafurahi sana kuona pdidy anawapelekea moto watu😂Uongoo, alipapaswaa paja ndo akahemkwa kutokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dr LizzyMaisha 😵😵😵
But, wait...
Shemeji bila mhusika?🤓
Hatuwezi kuchota maji kwenye kisima na kwenda kumwaga baharini😂Upewe ungo upae sasa, ushafuzu uchawi bro 😂😂😂
Abee...Dr Lizzy
😂😂😂mmepigwa mambo ni kinyume nyume
Na weweLabda nimselfishe yeye😂