Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hpa nilipo nasubiri nile nipulize tena๐Kumbe ndio maana
Kuna kichaa wangu mmoja nakufananisha naye
Watu wa Arusha hamtofautiani sana๐
๐๐๐Ona sasa mambo yako ๐๐
Sema Lamomy yupo ngangariHpa nilipo nasubiri nile nipulize tena๐
Sio toka kile kipindi jf ilivyolikisha the selected students of hall v/ kweli upo mda sana.Mimi nimestaafu,
Yangu 2014 nipo hapa, sasa hivi nguvu sina.
Nikienda piem naweka order tuu za bizaa.
Mwambie Aaliyyah atutengenezee juice ya tende na maziwa.
Muhimu saaana ile
Dadamtu siwezi muangusha kakalakeee!Cheza Kama Pele, fanya asist
Kesho inshallah ๐ tajiri ataselfikaMwambie Boss BL aselfike.....
Nkamu yupo busy na umbea๐๐๐
Hivi nilichokushauri ulifanyia kazi?
๐๐๐๐๐๐๐๐Sema Lamomy yupo ngangari
Mnawezana
Unaona nafanania na kuvuta?๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Wewe huvuti?
๐๐๐๐๐Nkamu yupo busy na umbea
Labda BMoney nianze naye
Natania tu๐๐Unaona nafanania na kuvuta?๐
Wote tukivuta hali itakuwaje?
๐๐๐๐.hebu tuioneNatania tu๐๐
Alafu hata mm sivuti, basi tu sura yangu ni ngumu mnoo
Sister indeedDadamtu siwezi muangusha kakalakeee!
Chuma kimenyooka hiko hakina mbambambaa kabisa!
Mnywani asinangushe sasa pisi haitaki mlolongo wa salamu
โค๏ธโค๏ธWananzengo wakishavimbiwa matoke dagaa hawataki juaaaaaaaa!!
Muwe na Usiku mwema wapendwa ๐ด๐ด๐ด๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค
Yani ukiingia unawahi kubana mlango kabla nzi hawajasogeza pua
Ipo siku mtakuwa wazee na nyie mtafaidi mema ya nchi
Si ajitokeze mzee wa kupiga watu marufuku kunikoti jamani ntampa na ntampa tena na tattoo tamchora maana hivi mnanitag tag na kunikoti koti nakuwa km mbuzi wa mjini wasio na mchungaji๐๐๐Haha
Kuna member hua zinawapiga marufuku mpaka kuqotiana.
Kuna Mali ukizimiliki ni presha sana mkuu
๐๐๐kuna mzee jirani ana kazi hiyo video call hadi toilet tabia za nyegere wakati mwenyewe kitombile kila shimo alitakaHahahaha wasiwasi ni akili maana wehu ni wengi apa....
Chombo Kama Kapeace hapana kabisaaa
Naam,
Unambakishia account ya Facebook tuu achati na shangazi zake WA huko buseresere
Inaonekana shamba hawawezi kulilima.Si ajitokeze mzee wa kupiga watu marufuku kunikoti jamani ntampa na ntampa tena na tattoo tamchora maana hivi mnanitag tag na kunikoti koti nakuwa km mbuzi wa mjini wasio na mchungaji๐๐๐