Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hpa nilipo nasubiri nile nipulize tena😂Kumbe ndio maana
Kuna kichaa wangu mmoja nakufananisha naye
Watu wa Arusha hamtofautiani sana😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpa nilipo nasubiri nile nipulize tena😂Kumbe ndio maana
Kuna kichaa wangu mmoja nakufananisha naye
Watu wa Arusha hamtofautiani sana😂
Sema Lamomy yupo ngangariHpa nilipo nasubiri nile nipulize tena😂
Sio toka kile kipindi jf ilivyolikisha the selected students of hall v/ kweli upo mda sana.Mimi nimestaafu,
Yangu 2014 nipo hapa, sasa hivi nguvu sina.
Nikienda piem naweka order tuu za bizaa.
Mwambie Aaliyyah atutengenezee juice ya tende na maziwa.
Muhimu saaana ile
Dadamtu siwezi muangusha kakalakeee!Cheza Kama Pele, fanya asist
Kesho inshallah 😎 tajiri ataselfikaMwambie Boss BL aselfike.....
Nkamu yupo busy na umbea😂😂😂
Hivi nilichokushauri ulifanyia kazi?
Unaona nafanania na kuvuta?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wewe huvuti?
😂😂😂😂😂Nkamu yupo busy na umbea
Labda BMoney nianze naye
Natania tu😂😂Unaona nafanania na kuvuta?😂
Wote tukivuta hali itakuwaje?
😂😂😂😂.hebu tuioneNatania tu😂😂
Alafu hata mm sivuti, basi tu sura yangu ni ngumu mnoo
Sister indeedDadamtu siwezi muangusha kakalakeee!
Chuma kimenyooka hiko hakina mbambambaa kabisa!
Mnywani asinangushe sasa pisi haitaki mlolongo wa salamu
❤️❤️Wananzengo wakishavimbiwa matoke dagaa hawataki juaaaaaaaa!!
Muwe na Usiku mwema wapendwa 😴😴😴💤💤💤💤💤💤
Yani ukiingia unawahi kubana mlango kabla nzi hawajasogeza pua
Ipo siku mtakuwa wazee na nyie mtafaidi mema ya nchi
Si ajitokeze mzee wa kupiga watu marufuku kunikoti jamani ntampa na ntampa tena na tattoo tamchora maana hivi mnanitag tag na kunikoti koti nakuwa km mbuzi wa mjini wasio na mchungaji🙄🙄🙄Haha
Kuna member hua zinawapiga marufuku mpaka kuqotiana.
Kuna Mali ukizimiliki ni presha sana mkuu
😂😂😂kuna mzee jirani ana kazi hiyo video call hadi toilet tabia za nyegere wakati mwenyewe kitombile kila shimo alitakaHahahaha wasiwasi ni akili maana wehu ni wengi apa....
Chombo Kama Kapeace hapana kabisaaa
Naam,
Unambakishia account ya Facebook tuu achati na shangazi zake WA huko buseresere
Inaonekana shamba hawawezi kulilima.Si ajitokeze mzee wa kupiga watu marufuku kunikoti jamani ntampa na ntampa tena na tattoo tamchora maana hivi mnanitag tag na kunikoti koti nakuwa km mbuzi wa mjini wasio na mchungaji🙄🙄🙄