Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Wacheki pia Isamilo busHiyo mizigo kuna dogo anatoka nayo boarder Tunduma sasa inatakiwa aitume Mwanza, nimeumiza kichwa sipati jibu..!
Dah.! Sijui ntafanyaje hao katarama na premier nilitaka uzoefu wao, mana kampuni zingine zinapoteza mizigo ya watu.
Au kama una haraka, pakia kwenye ndege kesho saa 6 Mchana utakuwa umefika, iwapo wakapakia kesho na ndege ya asubuhi kabla ya ku-connect na ndege ya DSM - Mwanza