π€£π€£π€£ Babu atajidai basi akiona hii commentBabu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,
Nkamuπ€£π€£π€£ Mi sina mambo anakuchuuza huyo.!
Hana baya babu yakoπ€£π€£π€£ Babu atajidai basi akiona hii comment
Filter za Tekno utasema mtu anapigwa na mwanga wa mawinguSs hivi ana tekno πΉπΉ
Kuna pic ya jersey niliona na ka filter
Yaani shangazi bhana menu zakeNdiomana kitambi hakiishi we maharage, dagaa na matoke unafanya mchezo?!! πΉπΉπΉ
Mwenzio napigwa na jua nauza vijora bado shemeji yako hajaniibia pesa zangu akabetie πΉπΉπΉNkamu
Nipe Dili hizo nirudi kariakoo nishike mahela
Unajua muda unakimbia na Mimi bado sina hela
Nisije kufa kabla sijazikamata
Babu mitano tenah πππHana baya babu yako
Pisi kali weweπ₯π₯π₯Nyie mmerogewa mie leo
Eeh πFilter za Tekno utasema mtu anapigwa na mwanga wa mawingu
Tekno ipi?
Ile macho matatu kama plate za jiko?
Mida ya wanga ndo mida yangu ya kujimwambafai humuPisi kali weweπ₯π₯π₯
Hili halihitaji hata D mbili
Tunaomba picha dada mzuri
Utusafishie Uziπ₯π₯π₯π₯
ππππππππMwenzio napigwa na jua nauza vijora bado shemeji yako hajaniibia pesa zangu akabetie πΉπΉπΉ
π€£π€£π€£ Lini hiyo?Yaani shangazi bhana menu zake
Juzi kati alituma picha amemezea tumbo Kwa ndani
Mida ya wanga ndo mida yangu ya kujimwambafai humu
Natupia km nakonyeza πππUbaweka chap na kufuta
Sisi tutawapa ushuhuda watakaopitwa,
Namna dada ulivyoshikilia namba 1,2 na 3 zote zakoπ₯π₯π₯
Alijua kulimeza balaaπππ€£π€£π€£ Lini hiyo?
Em atupie tena nisafishe macho.!
Haya ndio maneno sasaNatupia km nakonyeza πππ
Mikeka kila siku inachanika ananimalizia pesa zangu π€£π€£π€£ππππππππ
Ila si zinarudi
Mechi za sasahivi zinatabirika
Shemeji lazima mkeka utick
We vijora vina hela
Kuna dada mmoja naona sasahivi kajikita zaidi kwenye vijora..amepunguza Kasi Kwa waturuki
Na ana hela balaa π₯π₯
Nipe ramani sasa Nkamu nirudiMikeka kila siku inachanika ananimalizia pesa zangu π€£π€£π€£
Tunakoelekea nampeleka akanisaidie kuita wateja.!!
Kkoo pesa ipo kikubwa uwe na mali nzuri inayouzika walau kwa mwezi ushushe mzigo hata mara mbili..!
Wewe Nkamu rudi tupambane na wakongo π