Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoto mkareee wewe kapeace huna mpinzani kabisaa.!! 😹
Mwili umebalance huna kitambi, halafu lips πŸ‘„ sasa awwwweh babu ataacha kuvuta kiko mbona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu haforce kubinua camera yaani
Shepu ipo mubashara bila kuforceπŸ‘ŒπŸΏπŸ”₯
 
Ubaweka chap na kufuta

Sisi tutawapa ushuhuda watakaopitwa,
Namna dada ulivyoshikilia namba 1,2 na 3 zote zakoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Huyo hana mpinzani nakwambia, mi naenda na kapeace 😹😹😹

Mtoto mlito chombo hii lazima itue kwa babu G 😜
 
🀣🀣🀣🀣 em muite aselfike
Ninayo ilee picha
Nikajisemea yu shangazi kafuzu aisee
Ni mwendo wa kumeza tumbo



Huyo hana mpinzani nakwambia, mi naenda na kapeace 😹😹😹

Mtoto mlito chombo hii lazima itue kwa babu G 😜
Mungu ampe nini Babu jamani!?
Pisi kali namna hii,kama imeshusshuwa Toka mbinguni moja Kwa Moja
 
Nipe ramani sasa Nkamu nirudi
Kwa kweli nimemiss sana Kariakooo

Huku Mbeya kumepoa kama uji wa mgonjwa
Kwanza tupate goli ndio tuanze kufanya kweli.
Haya njoo tuongelee pm hapa wanga wengi 😹😹😹
 
Anajua vizuri sisi ndo tumemrudisha mjini basi tu kusudi zake..! 🀣🀣
Na hivi hana kampani sasahivi
Basi shangazi ni kujiongelesha mwenyewe mwaa mwii!
Hajaree Wala nini..
Naye Sele ,hata kuja kumjibu mwenzie dah
 
Huyo hata akikimbia maini yanaonekana 😹😹
Hatari sana huyo kapeace 😍😍
Kwanza id yake tu inasadifu yaliyomo
Zile lips zake sasa
Ni za motoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Na hapo hatumii hata lipstick

Yaani dada wa moto balaaπŸ”₯πŸ”₯
 
Yake majiko ya plate
Shangazi akapikie matoki na dagaa

Sele bhana
Anashindwa kumtoa shangazi kimasomaso na hata kaiphone x kweli!
🀣🀣🀣🀣 Sele anazingua sana
Kuchezea hips tu, kuhudumia aah 😹😹

Sele Ifike muda aache ubahili yani anamlisha shangazi mtori wa dagaa?!! Hata 2500 ya nyama nusu hana kweli??
Bora hata babe wangu mkeka ukitick ananispoil kwa shishi food πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ninayo ilee picha
Nikajisemea yu shangazi kafuzu aisee
Ni mwendo wa kumeza tumbo




Mungu ampe nini Babu jamani!?
Pisi kali namna hii,kama imeshusshuwa Toka mbinguni moja Kwa Moja
🀣🀣🀣 babu safari hii kajipata
 
Weeeh 🀣🀣🀣
Nitumie nione nkamu
Nguvu za kupigana na shangazi sina
Mtu anameza hadi tumbo
Huyo kunidunda na ngumi ni dk sifuriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila alilimeza aisee
Akawa na flat tummy kama mimi
 
Na hivi hana kampani sasahivi
Basi shangazi ni kujiongelesha mwenyewe mwaa mwili!
Hajaree Wala nini..
Naye Sele ,hata kuja kumjibu mwenzie dah
Nkamu ntakudunda 🀣🀣🀣
Yani nimecheka khaaaa.!!

Shangazi anajisemesha km mtoto katumwa dukani.! 😹😹😹
 
Sele yeye ni kumCC tu shangazi
Kumpeleka shishi food siyo shida zake .
Kw tunavyomjua shangazi,,akienda shishi food tutakoma na mapichapicha


Robo ya utumbo elfu2
Shangazi ananyunyiza dagaa kwenye ndizi jamaniπŸ˜€πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…