Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣 em muite aselfike
Ninayo ilee picha
Nikajisemea yu shangazi kafuzu aisee
Ni mwendo wa kumeza tumbo



Huyo hana mpinzani nakwambia, mi naenda na kapeace 😹😹😹

Mtoto mlito chombo hii lazima itue kwa babu G 😜
Mungu ampe nini Babu jamani!?
Pisi kali namna hii,kama imeshusshuwa Toka mbinguni moja Kwa Moja
 
Anajua vizuri sisi ndo tumemrudisha mjini basi tu kusudi zake..! 🤣🤣
Na hivi hana kampani sasahivi
Basi shangazi ni kujiongelesha mwenyewe mwaa mwii!
Hajaree Wala nini..
Naye Sele ,hata kuja kumjibu mwenzie dah
 
Yake majiko ya plate
Shangazi akapikie matoki na dagaa

Sele bhana
Anashindwa kumtoa shangazi kimasomaso na hata kaiphone x kweli!
🤣🤣🤣🤣 Sele anazingua sana
Kuchezea hips tu, kuhudumia aah 😹😹

Sele Ifike muda aache ubahili yani anamlisha shangazi mtori wa dagaa?!! Hata 2500 ya nyama nusu hana kweli??
Bora hata babe wangu mkeka ukitick ananispoil kwa shishi food 😂😂😂
 
Na hivi hana kampani sasahivi
Basi shangazi ni kujiongelesha mwenyewe mwaa mwili!
Hajaree Wala nini..
Naye Sele ,hata kuja kumjibu mwenzie dah
Nkamu ntakudunda 🤣🤣🤣
Yani nimecheka khaaaa.!!

Shangazi anajisemesha km mtoto katumwa dukani.! 😹😹😹
 
🤣🤣🤣🤣 Sele anazingua sana
Kuchezea hips tu, kuhudumia aah 😹😹

Sele Ifike muda aache ubahili yani anamlisha shangazi mtori wa dagaa?!! Hata 2500 ya nyama nusu hana kweli??
Bora hata babe wangu mkeka ukitick ananispoil kwa shishi food 😂😂😂
Sele yeye ni kumCC tu shangazi
Kumpeleka shishi food siyo shida zake .
Kw tunavyomjua shangazi,,akienda shishi food tutakoma na mapichapicha


Robo ya utumbo elfu2
Shangazi ananyunyiza dagaa kwenye ndizi jamani😀😂
 
Back
Top Bottom