Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkamu 🔥🔥🔥Tufanye yote tusiache kulaView attachment 3120441
Icho kiti si wanachokalia waheshimiwa
Hakika Mkuu, unapata gahawa unashushia na kashata wakati huo pembeni unavuta Kiko yako taratibu hivi 🤗
Hahahaha...................Hiyo picha nilipiga Mwaka 47 nilipomtembelea rafiki yangu kwenye Ofisi yake 🤗Icho kiti si wanachokalia waheshimiwa
Shikamoo Babu
Eti kashata laini laini maini rojo rojo 😂We mzee na mahanjumant ni kama inspector Haroon babu mzee wa pamba nyepesi
Kila verse mmoja yake utasikia kashata laini laini maini rojo rojo
Juice ya tende tena🙌
Miss you NkamuNkamu 🔥🔥🔥
Kwa uzee gani ulionao jamani halafu toka nizaliwe sijawahi kukiona kiko😀Hakika Mkuu, unapata gahawa unashushia na kashata wakati huo pembeni unavuta Kiko yako taratibu hivi 🤗
Umemtaja Mjukuu wangu Simara umefanya moyo wangu ububujike Kwa huzuni.
Ni miaka mingi tangu aseme anakwenda Mjini kuninunulia Kiko Babu yake
Ukimwona huko Mjini, mwambie Babu yake nimemkumbuka sana 🤗
Tumekumiss Nkamu🔥Miss you Nkamu
Fanya utafiti basi uje kutujulisha..Mi sijui wanapikaje huwa kuna kaka ananipikia
Nkamu uliacha?😂😂😂yaani wwTumekumiss Nkamu🔥
Nilivyoona tu I'd yako nikatafuta socks nivae😂
Hivi naangalia miguu yangu ilivyopauka kama kengeNkamu uliacha?😂😂😂yaani ww
Safi saanaKuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
NiceKama hii[emoji116][emoji780]View attachment 1217175
Good