Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo upate gahawa ya uvugu vugu flan hivi....

Kisha baadae Simara akuletee vitumbua
Hakika Mkuu, unapata gahawa unashushia na kashata wakati huo pembeni unavuta Kiko yako taratibu hivi ๐Ÿค—

Umemtaja Mjukuu wangu Simara umefanya moyo wangu ububujike Kwa huzuni.

Ni miaka mingi tangu aseme anakwenda Mjini kuninunulia Kiko Babu yake

Ukimwona huko Mjini, mwambie Babu yake nimemkumbuka sana ๐Ÿค—
 
Icho kiti si wanachokalia waheshimiwa
Shikamoo Babu
Hahahaha...................Hiyo picha nilipiga Mwaka 47 nilipomtembelea rafiki yangu kwenye Ofisi yake ๐Ÿค—

Marahaba Mjukuu, hujambo lakini?

Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana Mjukuu ๐Ÿค—
 
We mzee na mahanjumant ni kama inspector Haroon babu mzee wa pamba nyepesi

Kila verse mmoja yake utasikia kashata laini laini maini rojo rojo
Eti kashata laini laini maini rojo rojo ๐Ÿ˜‚

Wazee huwatoi kwenye kula

Sisi wengine hadi tumeweka alarm ya kutuamsha kula usiku ๐Ÿ˜œ๐Ÿ™Œ
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Naaam,

Ndio maana sikai mbali na Aaliyyah

Mwendo WA kuweka order tuu ya juice ya tende
Juice ya tende tena๐Ÿ™Œ

Mimi niliacha kunywa hiyo juice tangu Bibi yao aende kuwasiliana Vijana wetu huko Mjini

Juice gani unakunywa, inafanya kazi ya kuamsha vilivyo lala tu ๐Ÿ˜œ
 
Kwa uzee gani ulionao jamani halafu toka nizaliwe sijawahi kukiona kiko๐Ÿ˜€
 
Safi saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ