Mbonaa nilikuambiaa, wee ukiwekaa pichaa yako hapaa.Thanks.
Picha unaselfika lini?? Nimemmiss kukuona
Mimi niliweka Jana hapa.Mbonaa nilikuambiaa, wee ukiwekaa pichaa yako hapaa.
Mie nawekaa full nzima, natoa sintofahamu iliyokooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa wekaaa hapaaa sahiviii, niko pekee angu.Mimi niliweka Jana hapa.
Sijui ulikuwa online?
Kuna watu hawapo sasa hivi kidoogo una amaniππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani imekuajeeee? Woooiiiiiih
B money huwa mnafanyaje fanyaje mshale unakaa kwenye F?ππF Challenge Accepted RRONDO View attachment 3124444
Mm sijaona jmnMimi niliweka Jana hapa.
Sijui ulikuwa online?
Niliwasikia wamakua ni mwanamkeAmwali ndio nini?
ππππHayaa wekaaa hapaaa sahiviii, niko pekee angu.
Shemeji umetembelea, ukahakikisha inaenda kusoma E. Ndiyo ukapiga picha. Haikubaliki hii challenge ya kucheatπ π π πB money huwa mnafanyaje fanyaje mshale unakaa kwenye F?ππ
Ikija challenge ya E ntakuwa sina mpinzani, hali yangu ni mbaya mnooπ
View attachment 3124638
Hayo ndio maisha ya kila sikuπShemeji umetembelea, ukahakikisha inaenda kusoma E. Ndiyo ukapiga picha. Haikubaliki hii challenge ya kucheatπ π π π
Katika vitu napenda, gari liwe safi na mafuta yawe F tank. Ikisogea tu kidogo niko PUMA. Countrywide
Mie nachekagaaaa tyuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu hawapo sasa hivi kidoogo una amani[emoji23][emoji23]
Wekaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππngoja kwanza nitupie pamba kali KaliSelfika Shemejiππ
Mnatuletea challenge kubwakubwa hizi
Tutawajibuje sasa
Sisi wa kimataifa zetu za dagaa bwana
Hamna ni kama ugonjwa kwangu, ikipungua hiko kimstari kinachofata, najikuta nimeenda. Na naweka kituo kimoja tu kwa miaka yote. Kwasababu linajaa kwa laki 2 na 10. So kila wiki najazia kwa laki kwa hii. Usisubiri ishuke sana shemeji.Hayo ndio maisha ya kila sikuπ
Hiyo F haiwezekani kwangu aisee, ilishashindikana
Wewe boss mkubwa lazima wese liwepo Full muda woteπ
Ulikosa amani kabisa, unaogopa kuibiwaπMie nachekagaaaa tyuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulikosa amani kabisa, unaogopa kuibiwa[emoji23]
Hongera sana B moneyπHamna ni kama ugonjwa kwangu, ikipungua hiko kimstari kinachofata, najikuta nimeenda. Na naweka kituo kimoja tu kwa miaka yote. Kwasababu linajaa kwa laki 2 na 10. So kila wiki najazia kwa laki kwa hii. Usisubiri ishuke sana shemeji.