Selfika na JF: Snap it. Show it

Thanks.

Picha unaselfika lini?? Nimemmiss kukuona
Mbonaa nilikuambiaa, wee ukiwekaa pichaa yako hapaa.
Mie nawekaa full nzima, natoa sintofahamu iliyokooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbonaa nilikuambiaa, wee ukiwekaa pichaa yako hapaa.
Mie nawekaa full nzima, natoa sintofahamu iliyokooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliweka Jana hapa.

Sijui ulikuwa online?
 
B money huwa mnafanyaje fanyaje mshale unakaa kwenye F?πŸ˜‚πŸ˜‚
Ikija challenge ya E ntakuwa sina mpinzani, hali yangu ni mbaya mnooπŸ˜‚
View attachment 3124638
Shemeji umetembelea, ukahakikisha inaenda kusoma E. Ndiyo ukapiga picha. Haikubaliki hii challenge ya kucheatπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Katika vitu napenda, gari liwe safi na mafuta yawe F tank. Ikisogea tu kidogo niko PUMA. Countrywide
 
Shemeji umetembelea, ukahakikisha inaenda kusoma E. Ndiyo ukapiga picha. Haikubaliki hii challenge ya kucheatπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Katika vitu napenda, gari liwe safi na mafuta yawe F tank. Ikisogea tu kidogo niko PUMA. Countrywide
Hayo ndio maisha ya kila sikuπŸ˜‚
Hiyo F haiwezekani kwangu aisee, ilishashindikana

Wewe boss mkubwa lazima wese liwepo Full muda woteπŸ˜‚
 
Hayo ndio maisha ya kila sikuπŸ˜‚
Hiyo F haiwezekani kwangu aisee, ilishashindikana

Wewe boss mkubwa lazima wese liwepo Full muda woteπŸ˜‚
Hamna ni kama ugonjwa kwangu, ikipungua hiko kimstari kinachofata, najikuta nimeenda. Na naweka kituo kimoja tu kwa miaka yote. Kwasababu linajaa kwa laki 2 na 10. So kila wiki najazia kwa laki kwa hii. Usisubiri ishuke sana shemeji.
 
Hamna ni kama ugonjwa kwangu, ikipungua hiko kimstari kinachofata, najikuta nimeenda. Na naweka kituo kimoja tu kwa miaka yote. Kwasababu linajaa kwa laki 2 na 10. So kila wiki najazia kwa laki kwa hii. Usisubiri ishuke sana shemeji.
Hongera sana B moneyπŸ˜‚
Nisisubiri ishuke?πŸ˜‚πŸ˜‚
Hali yangu ngumu mnoo, angalia boot ni mwendo wa vidumu tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…