Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee Cantrii, usitakee nivunjike mbavu mie, sasa nna cha kuibiwa humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee Cantrii, usitakee nivunjike mbavu mie, sasa nna cha kuibiwa humu?
Hatariiiii tupuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikukosesha raha kabisaππHatariiiii tupuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ila JF, mweeeeh.
Shem umenishinda tabia π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ huwa wanakubali kweli madumu? Hayo madumu yatakuwa yana kazi nyingine. Huwezi kusubiria yaishe kabisa, ndiyo uweke. Ni yaleyale lazima uweke.Hongera sana B moneyπ
Nisisubiri ishuke?ππ
Hali yangu ngumu mnoo, angalia boot ni mwendo wa vidumu tuπππππππ
View attachment 3124709
Huko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.Utasikia wanasema Mbeya hakuna gorofa na mataa
Hilo chimbo pazuri sana Kuna kitimoto kama chotee hapo πHuko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.
Pisi za Mbeya wachache saana vimbau mbau... Mostly walikuwa six cylinder πππππ
Hapo city center ikifika SAA tatu yaan hamna watu kabisaa.
Kibaridi cha Mbeya kingekuwepo daslam yaaan...
Thanks and I love you too B.My Darling kikiboxer I miss you too, naona mention zako, sema kuna mambo yananiweka busy vibaya. But ni mambo, mazuri sana. Love you ππππππππ
Usijali babe, hili limeisha π₯° Long weekend utakuwa umeitendea haki. Mimi Jumamosi, nilienda live band. Kupumzisha akili, jana na leo ubusy kiasi. Angalau leo kidogo napumzika.Thanks and I love you too B.
Ukipata muda unachungulia mara moja moja kama hivi imekaa poaπ
Tajiri huna baya tajiri uishi maisha marefu sanaUsijali babe, hili limeisha π₯° Long weekend utakuwa umeitendea haki. Mimi Jumamosi, nilienda live band. Kupumzisha akili, jana na leo ubusy kiasi. Angalau leo kidogo napumzika.
music wa liveband mtamu sanaπUsijali babe, hili limeisha π₯° Long weekend utakuwa umeitendea haki. Mimi Jumamosi, nilienda live band. Kupumzisha akili, jana na leo ubusy kiasi. Angalau leo kidogo napumzika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikukosesha raha kabisa[emoji23][emoji23]
Wanakubali Ila sio petrol station zoteπShem umenishinda tabia π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ huwa wanakubali kweli madumu? Hayo madumu yatakuwa yana kazi nyingine. Huwezi kusubiria yaishe kabisa, ndiyo uweke. Ni yaleyale lazima uweke.
Nikiangalia ile foleni ya Gas, nakata tamaa kuyabadilisha mfumo uwe wa kutumia Gas, ilipaswa kila kituo cha mafuta, kishinikizwe kiweke na Gas.
Basi yaishee engineerππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cantriii, unauliza ili uambiwee? Uwiiiiiiiih
Majiraniiiii hukuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cantriii bhanaa, woiiiiiihBasi yaishee engineer[emoji23][emoji23]
π π π π niliwatunza wote, waliimba wimbo naupenda kwa hisia sana. Why watu hawawatunzi Nowadays? Maana wanakauka makoo masikini. Baada ya pale walichangamka sana tukaenjoy zaidi.music wa liveband mtamu sanaπ
Huwa unatoka mbele kutuza mahelaπ?
Mimi week end hii nilikuwa na mualiko wa harusi, jana nilienda church tu chap nikarudi nipo jf muda woteπ
Leo asubuhi nilipata wasaa wa kutembelea Kigamboni kibada kule karibu na crdb bank baadae nikaenda mwongozo ndio nimegeuka hivo. Unapajua huko my love?
Nasikia umelamba bonge la ajira, hongera sanaπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cantriii bhanaa, woiiiiiih
Haha sikuhizi hela ngumu watu hawatunzi kama zamani.Uliwa furahisha hapo kama wanakujua jina ni kutaja kila dakika.π π π π niliwatunza wote, waliimba wimbo naupenda kwa hisia sana. Why watu hawawatunzi Nowadays? Maana wanakauka makoo masikini. Baada ya pale walichangamka sana tukaenjoy zaidi.
Yeah babe napajua huko kote, nina site Kisota pale. Kigamboni ni kama nyumbani tu. Umeona beach zilivyo nyingi na nzuri? Jua kama hili, unawahi saa 4 weekend, unalala kwenye vile vitanda, upepo wa bahari unakupiga, kaglass ka wine, wisk pembeni, utake nini tena?
Nimecheka hapo ulipomalizia π π π π π π ππ funguo zilipotea. Yes Kisota kuko π₯π₯π₯ ahsante, nilipewa na my Dad.Haha sikuhizi hela ngumu watu hawatunzi kama zamani.Uliwa furahisha hapo kama wanakujua jina ni kutaja kila dakika.
Kisota ni premium area now days kwa Kigamboni hongera sana.
Kuna kipindi tulienda na jamaa zangu beach asubuhi tukawaomba tununue mbuzi mzima watuchomee tulishinda hadi usiku kule tuli enjoy.
Huo wimbo i wish niusikie nitumie PM kama hutojali pengine ukawa ni favorite kwangu piaπ
umestukia mtego sio?ππNimecheka hapo ulipomalizia π π π π π π ππ funguo zilipotea. Yes Kisota kuko π₯π₯π₯ ahsante, nilipewa na my Dad.
Hiyo siku mlienjoy sana, ya kuchomewa mbuzi mzima. Maisha ndiyo hayahaya, kazi na huku unatenga muda wa kurelax.