Uje tutete shogaangu 😹😹🤣🤣🤣🤣
🤣🤣NdagandagaIla mama pasta kwenye kupiga drip huwa unatunyoosha km rula 😍😍
Nimependa outfits
🤣🤣Uje tutete shogaangu 😹😹
Nimekumbuka kitu nimecheka khaaaa.!!
Upo kaka angu?✔️✔️
Nipo. Hujambo,Upo kaka angu?
Niko poa kabisaNipo. Hujambo,
Sawasawa...Niko poa kabisa
AiseeSaturdays are for weddings😝 jmosi njema great thinkers
Tanzania 🇹🇿 yetu
Vzr pambanaAah sie wengine tuko tu vijijini huku
Vocational Zina wenyewe bana ☺️
Acha uwoga 🤣🤣🤣Sipendi aibu,hizi maneno unatoa wapi? Maana yake?
Hapana so sorry just joking onlyDharau umeanza lini na dada yako? 😳
Mwachi wewe wa kuniambia hivyo kweli??
Umepotea nowSafiiiii
Inavutia sanaTanzania 🇹🇿 yetu
Wewe mpk nikupandishe presha unywe Pepsi ndo utatulia 😹😹😹Hapana so sorry just joking only
Nipo. Nilikuwa naingia nasoma na kutoka..ila nipoUmepotea now
Mnadhimu atakushughulikia kijanaAcha uwoga 🤣🤣🤣