Kuna SHIDO braza? πBro Catress πππ
Chap kwaaDah ase embu njoo ule basi
Nakukaangia na makenge ya kuku kabisaChap kwaa
LoL halafu nakula kuku hapa sasa hiviNakukaangia na makenge ya kuku kabisa
Duh vizuri injoy lovelyLoL halafu nakula kuku hapa sasa hivi
halafuβLoL halafu nakula kuku hapa sasa hivi
injoyβDuh vizuri injoy lovely
braza βKuna SHIDO braza? π
kuna post yako ya 2013 duu ulikuwa unatafuta sijui nini unakumbukaBro Catress πππ
Una uhakika?halafuβ
alafu β
Nakumbuka, upo nijitwalie?kuna post yako ya 2013 duu ulikuwa unatafuta sijui nini unakumbuka
We genius sio alafu, joh yupo sahihi ni halafuhalafuβ
alafu β
yeah neno sahihi hapo ni alafu, maneno mengine kama halafu yanatumiwa na baadhi ya watu ila neno ambalo watu wengi wanalitumia ni "alafu" japo yote yana maana mojaUna uhakika?
Brooh Leo uko Naked, nimekuona vizuri sasa.kwa wala mbwa View attachment 3219994
Kijana wa hovyo wa Zamani.Hii sifuti[emoji23]
View attachment 3220101
Mkuu kwamba kipimo cha neno kuwa sahihi ni kutumiwa na watu wengi siyo, toka enzi na enzi inajulikana neno sahihi ni "halafu" halafu wewe unasema eti siyo sahihi kisa linatumika na watu wachache, kwani hujui kwamba watanzania wengi huwa wana shida kwenye kuandika hasa kupenda kufupisha manenoyeah neno sahihi hapo ni alafu, maneno mengine kama halafu yanatumiwa na baadhi ya watu ila neno ambalo watu wengi wanalitumia ni "alafu" japo yote yana maana moja
Usitamani mali ambayo sio mali yako, wala mke wa jirani yako wala mjakazi wake. Shika hiyo amri mkuu.mimi moyo wangu upo kwa Bantu Lady tu hata kikiboxer shahidi anajua hilo,
mimi najua nyinyi na Bantu Lady ni marafiki tu mkuuUsitamani mali ambayo sio mali yako, wala mke wa jirani yako wala mjakazi wake. Shika hiyo amri mkuu.