Selfika na JF: Snap it. Show it

mkuu maneno kwenye lugha ya kiswahili huibuka kutoka kwenye kundi flani kubwa wataalamu wa lugha wanaita "misimu" sasa hii misimu inapokuwa na nguvu na kuwa na watumiaji wengi ndio inaunda lugha halisi inayo tumika.

turudi kwenye mada kwahiyo mimi kwa experience yangu nazani neno "alafu" ndio linalotumika zaidi kuliko "halafu" japo yote yana maana sawa hata uki Google utaona yote yanafahamika na kutumika kama maneno ya kiswahili kwahiyo hakuna shida mimi nimekubali kuwa "halafu" ni neno la kiswahili lakini pia "alafu" pia ni neno sahihi.
 
Miss u more luv [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] umepotea wewe au mimi ndiyo nimepotea humu. Dah muda sana.
Mwezi mzima sikuwa Online, nime join juzi tu.
Nimekumic mnoo luv, [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…