Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulisema samahani kwa kuwaridhisha.
Kwa sababu waliwaka. Ila baada ya kujua ukweli ingependeza uombe radhi kwa kuukashfu uafrika na kushobokea ngozi nyeupe au sio boss?
Hapana mkuu miguu ya huyo dada ni mizuri sana ata kama sio yeye... ila kama duniani kuna miguu mizuri kama hiyo basi ipewe sifa... Basi kwa upande wangu siwezi kusema uongo ili kuwaridhisha waafrika

Miguu ya huyo dada ni mizuri, ni mizuri sana kuliko picha zote zilizo postiwa hapa kwenye huu uzi

Ni kweli zile picha sio zake..ila ni nzuri na siwezi kuamini kama hawa wengine walio weka picha ni 100% za kwao ....

Kwaiyo bado nasimamia mawazo yangu katika picha zote zilizo wekwa hapa, nimependa miguu ya huyo dada
 
Weee Ina maana paja langu baya [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…