IacheeHii Ni Mara ya 2.
Naombeni waambie wengine wasije kunisumbua kwamba nipost Mara ya3
Nyau mwenyewe huyuView attachment 1219723
Nishakuona wewe OG 😘Kwanini nisijipende jamani [emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Nishakuona wewe OG [emoji8]
Huyo muache wa kwenye TV
Naivutia pumziIachee
Nitakuelekeza namna ya kuongezaNikomeshe tu na u-hair
Kweli?, nimepishana vipi na hizo picha jamani, tuma tena bana kuna vitu nataka nicheki[emoji12] pleaseee!Nishatuma kitambo nimeanza na mkono kwanza baadae miguu alafu mwili mzima
Mkuu kwanza tunakushukuru kutujulisha yule mdada izo picha sio zake... Mimi mwenyewe nilijua ni zakwake..Boss, hauwezi kupambanisha vitu viwili ambavo ni tofauti kabisa.
Hauwezi kumpambanisha mzungu na mwafrika hata siku moja ili kujua yupi ni mzuri au yupi ni mbaya.
Ukoloni umeshaisha ila inaonekana akili yako umegoma kuitoa kwenye utumwa.
Nakukumbusha., ili kufanya comparison tafuta vitu vyenye sifa moja, mzungu kwa mzungu, mwafrika kwa mwafrika unless unaniambia wazungu ni wazuri kuliko waafrika.
Shukrani; nasubiriNitakuelekeza namna ya kuongeza
hebu ninong'oneze ni vitu gani hivyo?Kweli?, nimepishana vipi na hizo picha jamani, tuma tena bana kuna vitu nataka nicheki[emoji12] pleaseee!
BwanaaaaaNaivutia pumzi
Nzuri
Hujambo we mrembo
Nakuona nakuonaa
naomba zile lips zakoSijambo sana tu
Sasa kwani kuna ulazima gani wa kujionesha kwa watu ambao wengi wao unajua kabisa haujuani nao na hautakuja kujuana nao??Hivi mtu anajisikiaje kudanganye kuwa ni fulani wakati sio na hata hafikii?
hebu tupia ule mwanya tena wewe mzungu mweusiIachee
Yaani unakuja kutupostia kucha kweli?? Hebu mimi nitumie full body pm naona labda wengine hawataki!!Namalizia kupaka rangi kucha ndo nipost
Nimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]'zalau' hizo 'blo'[emoji3][emoji3][emoji3] hamna nimesikia tu sifa zako