Selfika na JF: Snap it. Show it

Pic og za huku kwa mtogole zinajulikana kubali tu umeumbuka mzee baba
 
Asante kwa kuniita.
Kuna nini eti[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa si pozi ntakaloweka lazima tuvidole tuonekane; au unataka nichambwe nkamu kuwa vidole vyangu vinafanana na matoke?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa na sisi wenye vidole kama tangawizi tusemaje??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Mzee toboa mazingira ya mzungu akipewa mwafrika mzungu hafui dafu, sie wakali mazingira yanatuangusha

Mfano ni best sakayo ile reception yake ni kali kuzidi ya role model wake basi tu mazingira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…