Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na sie ndo tulichompinga tena pasipo kumtusi

Leo kapost yake nikaiona na hana swaga kama anavyojishaua,,,,, huyo kashalipuka maskini kitoto cha mama

Naisubiri pic yako ex share hata mguu tu ila hakikisha isisifiwe kuzidi zangu

Leo sijaona kabisa picha humu

Picha ya mguu 😂😂😂
 
Kabisa kuna watu ukipanda nao basi wanatamani kulia lakini ndiyo hivyo hawana namna inabidi watulie tu.

But unajikubali na kujipenda which is good
Life isn't fair at all [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom