Safi sana wale wa mapicha picha wasafisha macho muje mujionee karangi katamu
Halafu mabaharia mrembo huyu anatumiaje simu yenye camera mbovu
Poa hahhahaWewe tafuta zote zote.
Utaona
Uzi wenyewe huu Ni sherehe tosha.
Wacha tujadili tu
Waonee huruma na Wale walochoma naul kujaribu kwenda piemu
Angalia kuanzia #4300.Poa hahhaha
Hatimaye nimefanikiwa hiyo. (Camera yangu ya nyuma imepasuka ndo maana hiyo picha imetoka kama na ukungu hivi).
Hiyo ni jana Zanzibar View attachment 1219921
Ooh Sawa bossTutaweka mipango sawa, nitakupa briefing ya matumizi ninayo maanisha.
ungeweza kuut... weweLile ni kontena inye inye dadekii ningekuwa dume ningeubeba huu mzigo
Uzuri mizigo hii inaogopwa na wanaume wengi hasa wasio na nguvu na wale team yangu so haina noma ila haizimi kuwa ni zigo nyama za kutosha kitu og
Miminimama akikaa pozi hili!!! Tutasukumana humu
Mimi nilishatishika Hadi nikapeperuka.Hamna chochote aliamua kututisha tu
Mzigua fungua pm hiyoPiemu kafunga kwenye 7800 movement
Nielekeze jinsi ya kutumia boss kama ile ya scorpion
Aisee mimi sijaziona hizo neema umewahi sana kuzifuta
ungeweza kuut... wewe
Nitashukuru sana usisahau kunitag mama la mamaKesho nitakuwekea.
Mchumba turudi Jumamosi Zanzibar.
Mzigua fungua pm hiyo
Bila shaka wewe ndo ngonyani[emoji6][emoji6][emoji6]View attachment 1219936