Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

best yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...

Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...

Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
Haha naona unataka nijichomolee betri hadharani.
Nilishajipost hapa tena twice ndugu, moja unaijua na nyingine Leo.
Yule shamsaford miguu mbali sana, me ule ubonge nautolea wapi 😂😂

#Najikubali kuliko neno lenyewe kujikubali 🔥🔥
 
Kwa raha zangu mie... JF in bed... What a wonderful experience...
1569866449867.jpeg
 
Tatizo mdomk haujakidhi vigezo vyako??

Ila warembo wamo bhana, shida picha ya kike inataka mambo mengi kuanzia ubora wa camera, location, pozi, nk
Kuna picha umeweka umevaa ile nguo kama gwanda za pingapinga (chadema) ungepata simu kali ungekimbiza best, wahaya kwa shape tena mimi sitii neno..

Ila kwenye lips unazo nzuri ila ungebahatika kupata lips panapana aisee ningefunga safari hadi bukoba kukutana na wewe...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Picha ya mwanya imegoma kutoka kichwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushapata dhambi
 
Back
Top Bottom