Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
MmmhhhBado sijalala... Nimejitupa resting room.. Nikiwa chumbani tatupia... Lakini sio hapa[emoji30]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhhhBado sijalala... Nimejitupa resting room.. Nikiwa chumbani tatupia... Lakini sio hapa[emoji30]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3] View attachment 1220039
Utakuwa mbayaaa kuliko neno lenyewe
Techno werevaaaaa 🔥🔥🔥Unatumia simu gani best, ila scorpio me kaniangusha sana nilijua ni mtoto fulani hivi wa mbezi beach huko, mtoto Mashaaalah kube nae ni jumba bovu tu anatuletea picha za mtandaoni tena bila hata aibu...
Kweli wanawake nyie niwakuogopa sana, unaweza zaa na mtu huko nje na ukashupaza shingo kabisa kwamba huyu ni mtoto wako, nimeogopa ujasiri wenu..
Ila wadada wa humu nyie ni kiboko...
Kemea pepoSasa mi nifanyeje swahiba
Nitakuwa nimepitwa bestii..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] View attachment 1220039
Acha kumjaza bana mpenziPole sana sio kwa urembo ule
Atuwekee tupate hizo vitamins tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka mama nipo apa tayari
Thumb up lady...
Kashape kako kapo vizuri lakni, wifi yako nitamuweka baadae, ngoja uzi uchanganye kwanza
Bado hakizidi (K) -------VANT [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mida hii najipatia hawa wadudu. Hakuna chakula kitamu zaidi ya hiki kwa vyote nilivyowahi kulaView attachment 1220033
Ilitakiwa aione huyu ndo mwenyekiti wa kutunanga humuAcha kumjaza bana mpenzi
Tafuta Iphone, ila kuanzia 7+ hii haichagui location yaani unatoka kama ulivyo bestii..
Tena kwa rangi yako hiyo, itabidi ufunge PM kwa muda kuepuka usumbufu..
all in all your very cute...
Kwahyo niifute picha yako kwenye kichwa changuKemea pepo
Tafuta Iphone, ila kuanzia 7+ hii haichagui location yaani unatoka kama ulivyo bestii..
Tena kwa rangi yako hiyo, itabidi ufunge PM kwa muda kuepuka usumbufu..
all in all your very cute...
Mida hii najipatia hawa wadudu. Hakuna chakula kitamu zaidi ya hiki kwa vyote nilivyowahi kulaView attachment 1220033