Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha naona unataka nijichomolee betri hadharani.
Nilishajipost hapa tena twice ndugu, moja unaijua na nyingine Leo.
Yule shamsaford miguu mbali sana, me ule ubonge nautolea wapi 😂😂

#Najikubali kuliko neno lenyewe kujikubali 🔥🔥
 
Tatizo mdomk haujakidhi vigezo vyako??

Ila warembo wamo bhana, shida picha ya kike inataka mambo mengi kuanzia ubora wa camera, location, pozi, nk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Picha ya mwanya imegoma kutoka kichwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushapata dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…