Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Nimejitahidi kupitia uzi, sijaona picha ya chura hata moja.
Ina maana mademu wa humu ndani wote vimbaumbau.
Yaani kina Shunie,Mzigua,Rebecca83,demu wa smart etc wote hawana chura....
Sio kweli.... iundwe kamati maalumu kuchunguza hili...
haka ka twenty kamekunjwa mara nyingi utafikiri laki!Shauri yako... Utapishana na gari ya mshahara ujueView attachment 1217177
[emoji1787][emoji1787]Kazi mbovu hii niipeleke wapi besti, yaani hata mzee wa kazi sijui kama atashtuka hata...
Unikumbuke mpendwa japo majukum yananitinga nakua mbaliMlale unono wapendwa kesho lazima nijichomolee mkae mkao wa kula
Chura unayo?Unasemaje???
Anza mwanzo, pekua pekua vizuri. Na mie sijakuona broUnakwama wapi Dada ake!
Kila nikiingia humu holla
Chura unayo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Huyu mshana ana uchawi jamani..
Thread yake Kama chuma ulete.. haiwezekani imetuganda Kama gundi muda wote tupo humu.
Nimekula Milo yote [emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Asubuhi niliwahi kufukia viporo vyangu ndio nikaingia humu.
Mwili haujengwi kwa tofali
Uncle hunipendi kwenye mambo mazuri mazuri na matamu hupendi kunishirikisha.Kuna mchumba hukuuuuuu Cardiovascular
Mkuu, umewapata wapi hawa jamani napenda sanaaMida hii najipatia hawa wadudu. Hakuna chakula kitamu zaidi ya hiki kwa vyote nilivyowahi kulaView attachment 1220033
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimejitahidi kupitia uzi, sijaona picha ya chura hata moja.
Ina maana mademu wa humu ndani wote vimbaumbau.
Yaani kina Shunie,Mzigua,Rebecca83,demu wa smart etc wote hawana chura....
Sio kweli.... iundwe kamati maalumu kuchunguza hili...
Kama huna basi.Sina jamani unataka unipe?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ,vipi tena Doctor, unajipa tusi mwenyeweNyoko zangu mimi[emoji30][emoji30][emoji30][emoji39][emoji39][emoji39]