Selfika na JF: Snap it. Show it

Sangoma naona unataka watu waingie kingi wapost mpaka sura zao
 
Na kilinge? [emoji30][emoji144][emoji119][emoji119][emoji119]au na nani?
Unajua mzee wa kilinge wale jamaa wa nguo nyeusi wanaweza kukutumia vizuri na ss tukaingia kingi safi sana. Imagine mtu ananitafuta alafu nikatuma picha ya mkono au popote na ananijua tayari niko nyuma ya nondo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…