Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wakati tunahitaji ku realise stress... Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya.. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya... Kuna wakati hatuhitaji kusoma post zenye kutafakarisha... Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia...
Solution hii hapa sasa.... Utashangazwa na matokeo take... Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isyo kifani... Fanya hivi hapo ulipo tupia picha yako.. Ya sehemu yoyote mwilini... Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa... Mimi nitaaza na hizi.. View attachment 1217156View attachment 1217157View attachment 1217158
Sangoma naona unataka watu waingie kingi wapost mpaka sura zao
 
Hivi ndio vidole vya kike... Halafu ndio ugonjwa wangu [emoji85][emoji87][emoji86]
Penda na vyangu basi[emoji41]

11a4e7626d945bb2317f7ce9dd02afb0.jpeg
 
Na kilinge? [emoji30][emoji144][emoji119][emoji119][emoji119]au na nani?
Unajua mzee wa kilinge wale jamaa wa nguo nyeusi wanaweza kukutumia vizuri na ss tukaingia kingi safi sana. Imagine mtu ananitafuta alafu nikatuma picha ya mkono au popote na ananijua tayari niko nyuma ya nondo.
 
Back
Top Bottom