Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Narudi Bush mie.... Shukrani kubwa kwa wewe mdada mzuri wa JF.. It was a very wonderful meeting
1569755576860.jpeg
 
Sawa waache na ushamba wao, ila amini mshana hapa jukwaani anamsaada mkubwa sana kuliko wewe.
Tuwaaacheeee
Tumeni sana tu, naona mmeukwaa mkenge, iko hivi Huyu mtu sijui kaambiwa nanani asaidie kutambua watu, intelligence haitumii nguvu! Ukipiga picha na simu yako kisha ukaiaplodi huwa picha inatabia ya kuwa na details zoooote kama mfatikiaji akiwa na Modern Image Analyzer au Advanced Metadata Software, hadi namba ya simu card inaweza kuwa revealed.

Upo uwezekano wa kutuma Spyware article yenye reverse mode kutrack details zako zote, inaweza kuwa imepandikizwa kwa vidoe clips au picha yenye mvuto.

Acheni ushamba
 
Tumeni sana tu, naona mmeukwaa mkenge, iko hivi Huyu mtu sijui kaambiwa nanani asaidie kutambua watu, intelligence haitumii nguvu! Ukipiga picha na simu yako kisha ukaiaplodi huwa picha inatabia ya kuwa na details zoooote kama mfatikiaji akiwa na Modern Image Analyzer au Advanced Metadata Software, hadi namba ya simu card inaweza kuwa revealed.

Upo uwezekano wa kutuma Spyware article yenye reverse mode kutrack details zako zote, inaweza kuwa imepandikizwa kwa vidoe clips au picha yenye mvuto.

Acheni ushamba
Acha kutisha watu hapa ni chitchat hawako siasani
Ebu tumeni bana
 
numefuatilia huu uzi nilichokuja kukigundua ni kwamba
Mosi:kama wewe hufahimi sana hapa hata ukituma picha yako hakuna atakae jadiri yaan zinajadiliwa picha za uyu mshana tu
Mbili:nilivyo elewa mimi ni kwamba unajiself pale ulipo yaan apo apo sasa watu wanaenda kutafuta picha gallary mpaka google uko
tatu:watu wameamua kabisa kwenda kuvunja kabati za nguo zao nakuchukua nguo nzuri kuzidi zote ndio anapigia picha wakati lengo lilikua ni kuona daily life syle yako
mwisho:kaka mshana kwa uo mwendo wako utawala wengi sana humu maana umeanza ujinga wakutoka nje ya lengo yaan umevuka mipaka mpaka kupost misosi yako
nb:kama wewe hufahamiki ata usijisumbue kupost kapicha kako maana hakuna ata atakae reply post yako
Kingine hakuna mtu mwoga humu kama huyu mshana kwa upande wa kujionyesha live[emoji2][emoji2]
 
Yes ukiona hivyo ujue ushazeeka, hiyo inaaply kwangu pia.
Embu niambie kama enzi zile hapa nishatupia mapicha kama 20 hivi.
Am always around, mara nyingi kama msomaji...mara chache kama mchangiaji...
 
Umeshakuwa babu? Kuna no ya tigo nilimuwa nayo miaka na miaka sasa siku napoga akapokea mwanamke nikajua mkeo nikataja jina lako la asili napo hakuelewa nikajua tu umebadilisha no.
Hongera sana kwa kuwa kijijini huko ndo utajiri ulipo.
Am no longer using any of my oldies...Hiyo number niliiabandon like 6 or 5 years back
 
Back
Top Bottom