Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana [emoji23]
Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.
Mbona sasa?
Lakini ni ya kwako.
Ngoja niitafute.
Mwanaume lazima awe mweusi, safi sana.
Nimemuuliza huyo jirani anachoshindania ni nini? Maana anaonekana ana hasira sana.. Kwaiyo nataka nijue anacho kihitaji ili nimridhishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]best nipe mrejesho
Utasumbua, bora ubaki huko huko ambako najua competition siyo kubwa.
Nilikosea nikafutaNini hiyo?
Umevaa vest
Nimeiona raba
Dar joto 😂😂😂
. Mshana Jr. hii post yako sijui kwanini naipenda kila muda nikiingia jf siachi kuipitia
Nimeona zote ila nimeipenda ya Scorpio na sio leo tu, jana usiku nilipoingia uzi niliisifia. Ni kosa kusema nimependa picha yake?Umeona picha ya sakayo, unforgetable, yna2 cute b kapeace hannah lakini au umeona tu hiyo?
Hata mieIla me sitishwi na picha
PoleeeDah! Nmepitwa
Kama ni wewe, mi nilikuwa nakuchukulia btn 23-27 years. Comments zako zimekaa kijanjaro flani[emoji3]