Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Nitafutie camera kali
naomba zile lips zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba zile lips zako
Haigharimu hata senti 5Wanawake Tunapenda kusifiwa hata mie nikiipata ya kunipa sifa nitaileta hapa kwani sh ngapi?
Hatarious.Nimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
haha ili uzipige vizuri?Nitafutie camera kali
Ndio maana mimi nimemkubali sana yna2 coz kapost picha zake halisiNimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Me nimeweka wallpaper 😂😂Nimeihifadhi
😂😂😂Sio yako. . unatutania... Usipoweka yako mpaka saa 12 nakuroga
acha ubahiliAkuuuuu
Woyooooo; natupia kama vyoteee. Na nilivyoona tu picha nikajipimia kabisa kama mguu wangu unaingia humo; nimehisi umenizidi mguu kidogoHehehee unaweza kutupia hizi swags za kiume nikugaie?
Umeumbuka[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Kuumbuka kwangu hakubadilishi ukweli ... Miguu ya uyo dada mizuri kuliko kiwiliwili chako
Mzee toboa mazingira ya mzungu akipewa mwafrika mzungu hafui dafu, sie wakali mazingira yanatuangusha
Mfano ni best sakayo ile reception yake ni kali kuzidi ya role model wake basi tu mazingira
Hahahaha umejuaje mkuu?? Yaani nimegundua humu watu mnachodhani ni kwamba zikipostiwa picha za wadada wazuri ni za uongo ila za wadada wabaya ndiyo za ukweli!!Ndio maana mimi nimemkubali sana yna2 coz kapost picha zake halisi
Asante kwa kuniita.
Kuna nini eti[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂 ngoja niangalieAwe shemeji yangu au pamejaa?
Hapa K unatafuta na tochi
Kuumbuka kwangu hakubadilishi ukweli ... Miguu ya uyo dada mizuri kuliko kiwiliwili chako
Haigharimu hata senti 5
Weka picha hizo nisifie mie