Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hatarious.
Bimdada kajua kuwakomesha watu[emoji28][emoji28].
Tulikandiwa na rangi zetu nyeusi huku tukaambiwa hatuna swaggs.
Kumbe bibie alikuwa amekaa mahali anawachora anacheka hihihihihihihi.
Hahahahahaaaaaaaa haloooooooo yani yupo huko anakufa kwa kicheko huku watu wameshaua mamilioni ya watoto, Mungu anamuona
 
Hahahaha umejuaje mkuu?? Yaani nimegundua humu zikipostiwa picha za wadada wazuri ni za uongo ila za wadada wa wabaya ndiyo za ukweli!!
Mkuu inaonekana we hujaiona ya yna2...yupo vizuri kinoma afu kitu org hana mambo mengi
 
Kuumbuka kwangu hakubadilishi ukweli ... Miguu ya uyo dada mizuri kuliko kiwiliwili chako
[emoji23][emoji23] Umewafanya nini hao wadada..... Mkuu umepambana sana

Una msimamo sana mkuu, hao wadada kweli ni wazuri ila wameachwa mbali sana na huyo aliedanganya picha

Ni mawazo yangu tuu.. Sitaki kushambuliwa
 
Back
Top Bottom