Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sisi ambao ni team.....tunaogopa magobole.
Kwa hiyo kwa mguu ule lazima kuna gobole sio? [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani hujaachaga utani kaone kwanza nlitegemea utetee nnavyo baguliwa dhana haimfungi mtu nitetee basi
 
Ndio naingia muchwari
1569852599199.jpeg
 
Macho yako ya rohoni yapo sahihi.
Hauoni anasisitiza niulizwe mimi? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mimi ndio najua.
Hem acha basi nlitegemea uweke cv zangu sawa ni siwe na matabaka ndo unaharibu ujue nimekukosea nini?

Ulivyo nikimbiza jf hujaridhika bado[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom