Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hahahIsave tu ila hayo matumizi yasiwe nyeto mkuu itabidi unilipe
Hahahaha hamna natamani sana kufika ila sina mwenyeji tena juzi jumamosi nilikuwa karibu tu, kale kapicha nilikokatuma humu nilikapiga juzi ile ile na pale nilikuwa new bagamoyo beach resort.Warembo na mabest wote ruksaa... Sina ubaguzi... Msata hampendi kuja [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]ushanipoteza
[emoji23][emoji23]ndiyo unajibuje sasa nifundishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oh dah.. Ila siku ile sikuwepo nilikuwa darHahahaha hamna natamani sana kufika ila sina mwenyeji tena juzi jumamosi nilikuwa karibu tu, kale kapicha nilikokatuma humu nilikapiga juzi ile ile na pale nilikuwa new bagamoyo beach resort.
Huwezi kuelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]ndiyo unajibuje sasa nifundishe
[emoji16][emoji16]nilifuta
Oohh SawaOh dah.. Ila siku ile sikuwepo nilikuwa dar
Haaa nakielewa ila hapo ndiyo sijaelewa yaani kwamba ukiulizwa umeamkaje unajibu kidogo??Huwezi kuelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angalia alivyojibu khantwe
[emoji18][emoji18]Ooooho my Bad
Tusiowarembo tutakuona msataLeo nina hela mrembo aliye free tukutane lunch dar. View attachment 1220418View attachment 1220419
[emoji109][emoji123]Nahuyu ndie mchimba chumvi wa uvinzaView attachment 1220466
Aaah...! Kumambegese walah..! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...! Nilipie wapi mkuu?Lipa denda [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio.Haaa nakielewa ila hapo ndiyo sijaelewa yaani kwamba ukiulizwa umeamkaje unajibu kidogo??
Aah...! Kumbe unamaanisha hicho kidude?. Lips ngumu hizo mkuu,usipime[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechapia
=Lips denda
Nitakuwa external briefly