Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Lipi hilo?
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu unakuja automatically pimbi huyo hajui?!!

Sema JF raha sana, tukiamka na mood zetu za vingunguti wajishikilie watapata pureshaaa๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Halafu mmefananisha majina ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ #mama wa Kweli ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Dada yule amekuja kwa Kasi sana..kwa siku anaanzisha nyuzi 3๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
Yupi huyo? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Em kanitag kwanza nijionee hekaheka miye
 
[emoji1787][emoji1787] Dada yule amekuja kwa Kasi sana..kwa siku anaanzisha nyuzi 3[emoji23][emoji23][emoji174]
Stress za kukunjwa 7 na kuachwaaa mchezoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mabasha wa JF wawe wanawahurumia hawa watoto wa wanaume wenzaoo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Lipi hilo?
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu unakuja automatically pimbi huyo hajui?!!

Sema JF raha sana, tukiamka na mood zetu za vingunguti wajishikilie watapata pureshaaa[emoji81][emoji81]
Wee yulee wa kujifanya kumchukua bwana angu umesahau?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Aaaah wee.
 
Wee yulee wa kujifanya kumchukua bwana angu umesahau?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Aaaah wee.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ mabwaku bado mke mwenzio kakukalia kooni??
Kwani bwana si umemuachia au naye kaachwa?!!

Shemeji awapangie zamu msigombane bi mkubwa na bi mdogo ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Halafu wote wadogo zangu sasa.!!
 
Stress za kukunjwa 7 na kuachwaaa mchezoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mabasha wa JF wawe wanawahurumia hawa watoto wa wanaume wenzaoo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwani naye kaachika??
Penzi lilivyonoga walikimbia wote jukwaani na bwana shemeji ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Ko limekufa wamerudisha majeshi??
Em waje waselfike kwanza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabwaku bado mke mwenzio kakukalia kooni??
Kwani bwana si umemuachia au naye kaachwa?!!

Shemeji awapangie zamu msigombane bi mkubwa na bi mdogo [emoji81][emoji81][emoji81]
Halafu wote wadogo zangu sasa.!!
Anatakaaa nayeyee apewee promooo, km mie nilivyokua natambaa naee winjaaa winjaaaa.

Sasa mume hatakiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguuu acha fujooo, nshamuachiaaa bi mdogoo, uwanja ni wake, afu sijui anakwamaa wapii kumuhandlee bwanaaa Lol.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani naye kaachika??
Penzi lilivyonoga walikimbia wote jukwaani na bwana shemeji [emoji81][emoji81][emoji81]

Ko limekufa wamerudisha majeshi??
Em waje waselfike kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nachekaa mbavu zinaumaa, miee
Aaaah JF ina hekaa hekaa hiii, basi mie rohoo kwatuuuu.
 
Anatakaaa nayeyee apewee promooo, km mie nilivyokua natambaa naee winjaaa winjaaaa.

Sasa mume hatakiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguuu acha fujooo, nshamuachiaaa bi mdogoo, uwanja ni wake, afu sijui anakwamaa wapii kumuhandlee bwanaaa Lol.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ weeeeh nambie โ€œKOMAโ€
Ko bi anko naye anataka kubebishwa hadharani? Ahiyiiii nyie mi staki!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mume kagoma kutoa kiki!! Awwwwh hii kiboko
Sasa kila mtu na nyota yake jamani..
Basi bwana shemeji ampe kiki hata kidogo naye avimbe.!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nawe ko umekubali kumuachia?? Usimuache Le big BOSS bana, kaba had kieleweke.!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] weeeeh nambie โ€œKOMAโ€
Ko bi anko naye anataka kubebishwa hadharani? Ahiyiiii nyie mi staki!! [emoji81][emoji81]

Mume kagoma kutoa kiki!! Awwwwh hii kiboko
Sasa kila mtu na nyota yake jamani..
Basi bwana shemeji ampe kiki hata kidogo naye avimbe.!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Nawe ko umekubali kumuachia?? Usimuache Le big BOSS bana, kaba had kieleweke.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuu Una nn lakiniii weyeeee??
Wameachanaaaaa!! Habariiii hunaaa, mdogoo ako kavurugwaa hukoo.

1 haikai, 2 haisimamiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nachekaa mbavu zinaumaa, miee
Aaaah JF ina hekaa hekaa hiii, basi mie rohoo kwatuuuu.
Eheeeeyahhh ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Mapenzi ya jf, ila nna liubuyu linanitesa.!
Kuna penzi lingine nalo lina crackโ€™s km zote.. unaambiwa bwana kuna sehemu anajichekesha na kutoa miamala km yote Ila bidada hajuii
Weeeh uduguuuuu utaniponza niropoke ๐Ÿ˜น๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuu Una nn lakiniii weyeeee??
Wameachanaaaaa!! Habariiii hunaaa, mdogoo ako kavurugwaa hukoo.

1 haikai, 2 haisimamiiii.
Whattttthhhh?!!!!!
Warereeeeeee.!! Unaambiwa ukitaka kujua umuhimu wa matraco kalia kichwa uone.!!

Na toka lini sikio likazidi kichwa??
Kwahiyo baba Jane bye bye ๐Ÿ‘‹๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Jamani dj Nyamwi em nipigie kibao cha mapacha watatu โ€œKUACHWAโ€ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ndiomana hana raha machikiniii katoto lee

Sasa Shem anataka kurudi nyumba kubwa au? ๐Ÿ˜œ
Mana uduguu ukute ushapindua meza kibabe
 
Whattttthhhh?!!!!!
Warereeeeeee.!! Unaambiwa ukitaka kujua umuhimu wa matraco kalia kichwa uone.!!

Na toka lini sikio likazidi kichwa??
Kwahiyo baba Jane bye bye ๐Ÿ‘‹๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Jamani dj Nyamwi em nipigie kibao cha mapacha watatu โ€œKUACHWAโ€ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ndiomana hana raha machikiniii katoto lee

Sasa Shem anataka kurudi nyumba kubwa au? ๐Ÿ˜œ
Mana uduguu ukute ushapindua meza kibabe
Sema kingineeee
Pateni wadhamini kidogoooo

View: https://youtu.be/45RcMjUciIw?si=ouKs1WQBI1DMXCYi
 
Back
Top Bottom