spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Saaafi kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena uchekee haswaaa!!!Hapa kwanza nicheke![emoji23]
Picha zangu wa kuvujisha humu ni mchumba peke yake! Wengine waendelee kufanya ana ana dooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahYani alivyo mpole na mstaarabu huwezi mzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uliangalia anachoandikaga unaweza jua kidampa cha Buza ndanindani huko
Hilo sofa la Business Class.
Yes mkuuHilo sofa la Business Class.
🤣🤣🤣 Payge angetuacha kidogo kwanza tumalize viporo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivyoona text ya Payge.
Nkajuaa kushakuchaaaaa sasa, mweeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Nkamu jana Nimecheka had mbavu zimeniumaUmaarufu wa kuforce utakaua😂
Mmekaosha
Mie napiga kijembe kimoja natembea
Aluta continua
Tunaendelea panapo majaaliwa
Unajuaje km hazijavujishwa? 🤣🤣🤣Hapa kwanza nicheke!😂
Picha zangu wa kuvujisha humu ni mchumba peke yake! Wengine waendelee kufanya ana ana dooo
Uduguu ujue humu watu wanaamini sana hao watu so called babe, nyenyeee, chwitiii ila wangejua 🤣🤣🤣Tena uchekee haswaaa!!!
Niliwaambia Wajaa waje wawaonee mkiparuanaa.
Sisi hukuu rohoo kwatuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan unajuaa kanipoozesha yule mode, nilituliaa tulii km co mie vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Payge angetuacha kidogo kwanza tumalize viporo
Hapo uliposhikaa kuna nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3079888
Chatini na Picha hata za Mwaka 47 kama hizi [emoji12][emoji847]
Hello Monday [emoji1635]
Huenda ilikuwa ni pozi tu la Mwaka 47 🤗Hapo uliposhikaa kuna nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]