Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,998
- 8,339
Mimi nachoma leo hii...pia mwenyewe anajipenda na anajua tafuta pesa wanasema usitumie pesa ovyo kama.hujui kutafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nachoma leo hii...pia mwenyewe anajipenda na anajua tafuta pesa wanasema usitumie pesa ovyo kama.hujui kutafuta
Eeh! Yuko vizuri sana huyo...pia mwenyewe anajipenda na anajua tafuta pesa wanasema usitumie pesa ovyo kama.hujui kutafuta
😁😁😁😂😂, Karibu sana mnywanii usisahau maembe mabichi waituhahaha!
Usije ukaniacha mto kanoni pale hamgembe nashangaa peke angu
Siku hizi naweza kutuma naona, hazinisumbui Mwalimu wangu, ahsante sana.🥰Naona ushakua mwalimu sasa
Ndo tuna test test eh
Ungenistuaa jamani juzi nilikua huko saiii niko Massaka kesho mapemaaa sana naamsha Tz. Bk ntapita asubuhi sana make naenda Mwanza!Nitakuwepo bukoba, nilikuwa huko Kampala na Entebe wenzetu wanatumia hela sijawahi ona. Nilitembelea viwanja kadhaa hapo Kampala Catwalk Lounge na Throne ni balaa tupu nilikaa siku kadhaa ila nilifurahia sana...
Leo akina kokushubira utawamwaga maizi ya kutosha !
Hahaha hizi akili zako mnywaniLeo akina kokushubira utawamwaga maizi ya kutosha !
Duuuuuuh ebhanaeeeeeee 🔥🔥🔥🔥
Wakora waitu aisee.
Tafufa hela mkuuDuuuuuuh ebhanaeeeeeee 🔥🔥🔥🔥
Mimi wananigeaga bure 😄Tafufa hela mkuu
Huwa nawakimbia hapa straight kulala kesho na ratibaLeo akina kokushubira utawamwaga maizi ya kutosha !
Tungeamka kesho huko Mwanza kesho napokea maboss wanguUngenistuaa jamani juzi nilikua huko saiii niko Massaka kesho mapemaaa sana naamsha Tz. Bk ntapita asubuhi sana make naenda Mwanza!
Napenda venye waganda wanatumia sana pesa pia wanajuhudi sana ya kutafuta pesa wakizipata hata kutumia leo zikaisha kesho asubuhi asiamke hata na mia mbovu kwao kawaida sanaa!
Napenda tu huu uzungu uzungu wao
Hapo kati kuna protein kumejikunja vizuri pabarikiwe.
Siku nyingne nitaweka nyingine 😊Uliwahi ifuta hata sijaikariri vizuri 🙄
NitawekaUshatupia vidio??🤨