Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Fanyeni hivyo ππAhsante Odo ake ππππ kwakweli itabidi tukupe tu, naona ukiiacha picha kwa dakika nyingi, watu wakiquote haifutiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanyeni hivyo ππAhsante Odo ake ππππ kwakweli itabidi tukupe tu, naona ukiiacha picha kwa dakika nyingi, watu wakiquote haifutiki.
Hiyo sasa roho mbaya!! πππMtaji unao. Usije muingiza chaka bantu akakupa kweli
Babe kikiboxer sasa atakaa kwa amani, picha imefutika kote. Ataogopa hata kutuma tena π π π πFanyeni hivyo ππ
Usimsikilize huyo anataka usiniwezeshe aendelee kunicheka π€£π€£π€£Shem namuelewa wee mwache anicheke tu. Iko siku nitambamba Kariakoo kwenye duka lake. Wakinga habari nyingine. Kuna wakinga watatu, nawafahamu yaani wanashindana kuporomosha mahotel na ukumbi kwa mpigo.
Hiyo laki 5, ndiyo unamlipa msaidizi wako wa dukani, tena mmoja tu. Unaniingiza chaka baya sana. Niko na shemeji.Usimsikilize huyo anataka usiniwezeshe aendelee kunicheka π€£π€£π€£
Odo Usimsikilize cantry muongo.. ππHiyo laki 5, ndiyo unamlipa msaidizi wako wa dukani, tena mmoja tu. Unaniingiza chaka baya sana. Niko na shemeji.
Eti fundi, wanaume wanaendesha magari mengi sana. So akiona tu anajua hili ni lipi. Mimi bila kulisoma natoka kapa π π π πMwambie aache uoga ππ
Na yote huyo fundi wa mchongo kuja kutaja jina la ndinga analo push shem πΉ
Hajui kumezea vitu khaaaa.!!
Huyo namjua fika dalali sijui ufundi kaanza lini?? π€£π€£π€£Eti fundi, wanaume wanaendesha magari mengi sana. So akiona tu anajua hili ni lipi. Mimi bila kulisoma natoka kapa π π π π
Hutamuingiza chaka, anajua vizuri tu uwa unatania. Tajiri wa kkooπHiyo sasa roho mbaya!! πππ
Mtaji ninao ila mdogo nataka odo aniboost walau nifike hata laki 5 πΉ
Mwache shem wangu, acha kumbandika udalali mara fundi. Shem ndiyo anaongea ukweli. Babw nitamshawishi, atupie nyingine faster afute. Napita naked tuko wawili tu πππππHuyo namjua fika dalali sijui ufundi kaanza lini?? π€£π€£π€£
Huyo dalali wa viwanja bana asimtishe shem ashindwe kutupia ndinga lingine bure. πΉ
Mm ni fundi serious, tena ni fundi body+rangi, kwa hiyo ndani nje nayajua mabody ya gariEti fundi, wanaume wanaendesha magari mengi sana. So akiona tu anajua hili ni lipi. Mimi bila kulisoma natoka kapa π π π π
Udalali ninao kweli, Ila ufundi ndio kazi rasmi na unajua vizuri tu acha kumuongopea bosslady ππHuyo namjua fika dalali sijui ufundi kaanza lini?? π€£π€£π€£
Huyo dalali wa viwanja bana asimtishe shem ashindwe kutupia ndinga lingine bure. πΉ
Nikizikosa hizo pesa utanipa zako ujue πππHutamuingiza chaka, anajua vizuri tu uwa unatania. Tajiri wa kkooπ
Muuzaji wa jumla wa.....
Endelea kama sijatajaπ
Tupia aisee, sijawahi kukuona aisee Ila naskia ni pisi ya kwenda haswaaMwache shem wangu, acha kumbandika udalali mara fundi. Shem ndiyo anaongea ukweli. Babw nitamshawishi, atupie nyingine faster afute. Napita naked tuko wawili tu πππππ
Ooh vizuri, maana odo wangu kila kitu utani. Nikajua anatania. Tutaleta shemMm ni fundi serious, tena ni fundi body+rangi, kwa hiyo ndani nje nayajua mabody ya gari
Jana status niliona mzigo mpya wa kutosha nikataka kusema neno nikakaushaππNikizikosa hizo pesa utanipa zako ujue πππ
Acha kumtisha tajiri bana, nataka kufunga kontena la vijora.
Na wewe umenigeuka? πππMwache shem wangu, acha kumbandika udalali mara fundi. Shem ndiyo anaongea ukweli. Babw nitamshawishi, atupie nyingine faster afute. Napita naked tuko wawili tu πππππ
Serious mje mniungishe aisee, gereji ipo tandale darajani upande wa kulia ukiwa unatokea magomeni kanisani, na upande wa kushoto ukiwa unatokea vaticanOoh vizuri, maana odo wangu kila kitu utani. Nikajua anatania. Tutaleta shem
πππUdalali ninao kweli, Ila ufundi ndio kazi rasmi na unajua vizuri tu acha kumuongopea bosslady ππ