Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe wasema wenzio huku mtaani wanarudishwa utotoni na kina Gen z
Ni katika upande mmoja tu wa mizagamuo.
Kwani ilikuaje Diamond akazaa na Zari, ambae ni single mother mwenye watoto?
Kwani Diamond hakuweza kutafuta hao Gen Z?

Harmonize ilikuaje akadata na single mother mshangazi hadi anamtungia nyimbo na kuhonga magari? Unafikiri alikosa hao Gen Z...

Kikubwa jitunze na ujikubali...

Unaweza kuwa na 30's na mtu akakuelewa mkafanya maisha .. achana na story za jf zisizo na uhalisia , kwenye ground mambo ni tofauti, jitunze na ujiamini. Kwenye suala la kujitunza ndipo kipengele...

Duh! Mbona nimegeuka kuwa motivesheno spika tena...?
 
Ni katika upande mmoja tu wa mizagamuo.
Kwani ilikuaje Diamond akazaa na Zari, ambae ni single mother mwenye watoto?
Kwani Diamond hakuweza kutafuta hao Gen Z?

Harmonize ilikuaje akadata na single mother mshangazi hadi anamtungia nyimbo na kuhonga magari? Unafikiri alikosa hao Gen Z...

Kikubwa jitunze na ujikubali...

Unaweza kuwa na 30's na mtu akakuelewa mkafanya maisha .. achana na story za jf zisizo na uhalisia , kwenye ground mambo ni tofauti, jitunze na ujiamini. Kwenye suala la kujitunza ndipo kipengele...

Duh! Mbona nimegeuka kuwa motivesheno spika tena...?
Umenena vyema endelea kutumotivate 🫠
 
Mtusaidie picha zifutike. Kila aliyetuquote afute comment tunaomba. Mimi nitawarahisishia kuwatag. Mfute picha zisibaki🥺 Tukubaliane, wengine tukiweka picha mtu asiquote ile ya picha, iwe rahisi kufutika ni ombi 🥰

Kama sikosei, ukifuta post aliye quote nae akifungua haifunguki. Kwa ushauri wangu, kama unawasiwasi na picha unayoituma, ni vyema usiiweke kabisa. Na hasa hasa kama unaroho nyepesi. Hapa ndani tuna watu wa Kila aina kama ambavyo tunaishi nao mtaani, Kuna waungwana, wastaaeabu, wagomvi, wababe, wasioeleweka, wenye stress na Kila aina unayoifaham. Hatujawahi Ina mtu anakujibu jeuri au anakua mkali kama kifaru na unastaajabu kipi kimempata? Ukiwazingatia, unapunguza siku za kuishi.

Nnaongea maneno mengi kama Lamomy (ila huyu nae haishi kufurahisha, kiuhalisia anaweza kuwa sio muongeaji sana ila machachari yake Yana PhD).

Nilichotaka kusisitiza, post picha ambayo chochote kikitokea, haitakusumbua. Chochote kinachoenda mtandaoni, kinakupa nje ya udhibiti wako. Hapa unawasihi walio quote wafute, wengine tayari wamesha Danrod wanazo. Kikubwa watu wawe wastaarabu tu.
 
Kama sikosei, ukifuta post aliye quote nae akifungua haifunguki. Kwa ushauri wangu, kama unawasiwasi na picha unayoituma, ni vyema usiiweke kabisa. Na hasa hasa kama unaroho nyepesi. Hapa ndani tuna watu wa Kila aina kama ambavyo tunaishi nao mtaani, Kuna waungwana, wastaaeabu, wagomvi, wababe, wasioeleweka, wenye stress na Kila aina unayoifaham. Hatujawahi Ina mtu anakujibu jeuri au anakua mkali kama kifaru na unastaajabu kipi kimempata? Ukiwazingatia, unapunguza siku za kuishi.

Nnaongea maneno mengi kama Lamomy (ila huyu nae haishi kufurahisha, kiuhalisia anaweza kuwa sio muongeaji sana ila machachari yake Yana PhD).

Nilichotaka kusisitiza, post picha ambayo chochote kikitokea, haitakusumbua. Chochote kinachoenda mtandaoni, kinakupa nje ya udhibiti wako. Hapa unawasihi walio quote wafute, wengine tayari wamesha Danrod wanazo. Kikubwa watu wawe wastaarabu tu.
Ahsante sana kwa ushauri huu mzuri Mkuu The Monk Nitaufanyia kazi. Ni kweli ukiweka isipokaa muda mrefu inafutika. Niliweka moja nikawahi kufuta, hata walioquote ikafutika kwenye quote zao. Shida naona ikikaa dakika nyingi, itafutika kwako, kwenye quote picha inakutolea macho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Ile picha haina madhara, nimeiziba sana 😅😅😅.
Lamomy anatufurahisha humu ana pacha nkamu wake Saint Anne basi mbavu hatuna kwa maneno yao.
Uwe ma asubuhi njema. Kumekucha...
 
Back
Top Bottom