Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijal yupo mzima wa afya kabisa, anazidi kuziongeza T zake tatu tu😁Poapoa.. Usisahau kuniita sasa!
Best ako kapatwa nanini?? Mwambie Amemisika sana jf
Kuna nini mrembo? Mbona kama mmedukuliwa...😀😀😀😀Ahsante sana kwa ushauri huu mzuri Mkuu The Monk Nitaufanyia kazi. Ni kweli ukiweka isipokaa muda mrefu inafutika. Niliweka moja nikawahi kufuta, hata walioquote ikafutika kwenye quote zao. Shida naona ikikaa dakika nyingi, itafutika kwako, kwenye quote picha inakutolea macho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Ile picha haina madhara, nimeiziba sana 😅😅😅.
Lamomy anatufurahisha humu ana pacha nkamu wake Saint Anne basi mbavu hatuna kwa maneno yao.
Uwe ma asubuhi njema. Kumekucha...
Aah thubutu siifuti Ya tangu mwaka Jana alafu ulipita mzima mzima nilikupenda hatari 😀😀😀Hahaha 😃😃😃bana my mdogo usinichekeshe...ile picha yangu ulishaifuta..
Nakupenda pia kipenzi...😘😘wee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...Aah thubutu siifuti Ya tangu mwaka Jana alafu ulopita mzima mzima nilikupenda hatari 😀😀😀
Watruu na T tatru zaooooo auwweee😁😁😁😁😁😁😁!Usijal yupo mzima wa afya kabisa, anazidi kuziongeza T zake tatu tu😁
Mwana simba , wakwetu umetumia nini asee juzi tena ephen ananiambia anakupenda 😁😁😁😁Nakupenda pia kipenzi...😘😘wee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...
Kabisa zimefika wala usijali shem wetu🤗Watruu na T tatru zaooooo auwweee😁😁😁😁😁😁😁!
Mie hapo T moja tu yani kitraaa kimegoma kupotea kabesaaa ndiokwanzaaaaaa kinaongezeka!
Mfukishie salamuuu
Juzi mlikua mnapumulia mashinee 😂😂😂!Mwana simba , wakwetu umetumia nini asee juzi tena ephen ananiambia anakupenda 😁😁😁😁
Love you two Wee na E ako mingii mingiii!Kabisa zimefika wala usijali shem wetu🤗
Njoo pm nikupe ya bantu lady🤣🤣🤣Hizo picha manazosema hazijafutika ziko wapi jameni tuzione??
Bantu Lady Aaliyyah
Tupieni asubui muda huu wa chai tujipongeza
Mm zangu zinafutika 😀Hizo picha manazosema hazijafutika ziko wapi jameni tuzione??
Bantu Lady Aaliyyah
Tupieni asubui muda huu wa chai tujipongeza
Rudia unibles nisafishepo macho jamaniiiiMm zangu zinafutika 😀
Kwakweli ninaitunzaNakupenda pia kipenzi...😘😘wee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...
Leo tunapika nini?? Andaa bas juiceMimi nilipakwa wanja km naenda kusasambua 🤣🤣🤣
Hana mpinzani kabisa...mwali wetuTunasubiri somo Auntie🔥🔥🔥
Hii sekta huna mpinzani tz nzima 🔥