Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante sana kwa ushauri huu mzuri Mkuu The Monk Nitaufanyia kazi. Ni kweli ukiweka isipokaa muda mrefu inafutika. Niliweka moja nikawahi kufuta, hata walioquote ikafutika kwenye quote zao. Shida naona ikikaa dakika nyingi, itafutika kwako, kwenye quote picha inakutolea macho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Ile picha haina madhara, nimeiziba sana 😅😅😅.
Lamomy anatufurahisha humu ana pacha nkamu wake Saint Anne basi mbavu hatuna kwa maneno yao.
Uwe ma asubuhi njema. Kumekucha...
Kuna nini mrembo? Mbona kama mmedukuliwa...😀😀😀😀
 
Watruu na T tatru zaooooo auwweee😁😁😁😁😁😁😁!

Mie hapo T moja tu yani kitraaa kimegoma kupotea kabesaaa ndiokwanzaaaaaa kinaongezeka!
Mfukishie salamuuu
Kabisa zimefika wala usijali shem wetu🤗
 

Attachments

  • IMG_20240924_103023.jpg
    IMG_20240924_103023.jpg
    145.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom