Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kula dada siku moja tu jmn 😃Jamani niko kwny Dayati sasa nimepika wali maharage hapa unanukia hatari...yani moyo unaniumaaa mnoooo..yani sijui nifanyaje uwiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula dada siku moja tu jmn 😃Jamani niko kwny Dayati sasa nimepika wali maharage hapa unanukia hatari...yani moyo unaniumaaa mnoooo..yani sijui nifanyaje uwiiii
😍
Siku hizi zsiingii sana hapa
Nimeishinda tamaa kipenzi nimefakamia tikiti...😃😃ila inahitaji sana moyoKula dada siku moja tu jmn 😃
HahaUlichokunywa Jioni hii huendi mbinguni mnywanii 😂
Ee bana at least Bantu Lady katupa mshepu wa hatari hapa...Kuna watu wamegoma dada?
Wao walale tu sitaki dhambi ya uongo😂😂😂
Imenipita hiyoEe bana at least Bantu Lady katupa mshepu wa hatari hapa...
Umechelewa dyadyaImenipita hiyo
Mi mwenyewe imenichanganya hapo nikasema mh nisije jikuta nimeenda kusikoVincenzo Jr nimeget started ikanipeleka hapo sikuona Jf nikasearch ikanipeleka huko hapo naona mashikolo mageni tu mwongozo pulllllllliiiiiiiiizzzzz
Imeisha hiyooo...😃Wao walale tu sitaki dhambi ya uongo😂😂😂
Yani tena vibayaaaaUmechelewa dyadya
Basi wakujee wawabembelezee, sie tupate kuona uumbaji wa JAH.Basi mpk waje wabembelezwe na vivuruge wao kina Saint Anne na Aaliyyah
Hongera sana mimi pia kwenye upishi wa wali nipo vizuri 😎Kwenye gas yani nimeshasahau kupikia nje usiku...😃😃ila wali wa kwny kuni unanukiaga ukiwa kijijini...na wa kwny mkaa unachambuka vzr mno
No nimewaambia waamke usiku sana. Huwezi amini, nilikuwa nafanya majaribio, nimeacha muda mrefu, imefutika kote. Yaani ni mwendo wa kuselfika tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wao walale tu sitaki dhambi ya uongo😂😂😂
Ili ujilalie zako mapema...Basi wakujee wawabembelezee, sie tupate kuona uumbaji wa JAH.
Sasa hizi ndio raha za utoto wa kwenye huu uzi MkuuDaaah, broo mimi issues za kupanda meli siziamini kabisa yani ndio maana mimi napenda kushinda nyumbani kuliko safari safari ili kuongeza nafasi ya maisha
Hapa watu ndo wanapochanganywq kumbe, unakuta sifa kemkem picha imefutwa😅😅😅 sasa nimejua ulichopitiaMm mama wa kanda ya huko ziwani..hyo ndo miguu yetu...😃😃😃🤣🤣sema ya kwangu siyo mizuri kama hyo...😊😊