Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We ni mtata sana mnywani
Uko kama mpalestina hata upigwe missile za namna gani

Zako ni takbirrr unasonga mbele
Starring hauawi mnywanii! ! Weeee ana uawaje yaniii?? Hata waungane maadui maelfuuuuuuu🕺 hahaha 🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒😁😁😁!


Kesho mnywanii ake 💋💋💋😍!

😴😴😴💤💤💤😴💤😴💤😴😴😴💤💤💤
 
Sio utoto brother ni sababu za kiusalama tu

Nakuelewa, nilikua narejea post yako umesema huu uzi umejaa Utoto mwingi sana. Hata hivyo usikonde Mkuu, hapa ni sehem ya kutoa stress baada ya pirikapirika za siku nzima.

Tunashangwe hadi linamwagika, upendo na ucheshi mwingi sana.

Karibu tupate supu ya kongoro.

Screenshot_2024-09-24-17-26-11-85_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
 
Back
Top Bottom