Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 2,904
- 7,489
Udhaifu wa chinoWee nawe usimjaze huyo shangazi kapigana vita gani peke yake akashinda?? 🤣🤣🤣
Chino wewe ndo unafanya shangazi acheleweshe NSSF zangu ujue, utazilipa wewe ohhh.!! 😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udhaifu wa chinoWee nawe usimjaze huyo shangazi kapigana vita gani peke yake akashinda?? 🤣🤣🤣
Chino wewe ndo unafanya shangazi acheleweshe NSSF zangu ujue, utazilipa wewe ohhh.!! 😹😹😹
Mpendwa
Hawa hawana uwoga aisee hata utishe vipi 😀hawezi mm mwanasheria nipo
Yaani acha kabisa nipo na mdhamini pembeni nadeka mpaka nadeka tena😊Mpendwa
Unakula bata tu🔥
Shangazi anatukubali sana leo atalala na viatu 🤣🤣🤣Shangazi anatudis ila anatukubali kiaina
Mwambie mnywani wako anilipe mshahara wangu 😂Udhaifu wa chino
Nilitaka nishangaeShangazi anatukubali sana leo atalala na viatu 🤣🤣🤣
😂😂😂 kapita kumbe?Nilitaka nishangae
Shangazi apite bila kucheka kweli!
Kicheko ni kama kikohozi
Huwezi ukakibana ukabaki salama
Nimemuona shemeji 🔥🔥🔥🔥🔥Yaani acha kabisa nipo na mdhamini pembeni nadeka mpaka nadeka tena😊
😂😂😂 kapita kumbe?
Shangazi rudi kwanza hapa kuna jambo nataka tu discuss
😂😂😂Anacheka tu bila vocha
Shangazi bhana
Anatuangusha,Akitendee haki hiki cheo cha ubossledi
Ngoja nimwambie aje kukuungisha mchuchuMwambie mnywani wako anilipe mshahara wangu 😂
Sitaki kuungishwa nataka mafao yangu, issue za biashara hizo zingine bana 😂😂Ngoja nimwambie aje kukuungisha mchuchu
Huyo inn ndo alikuambia chino ni bonge dah haha.Sitaki kuungishwa nataka mafao yangu, issue za biashara hizo zingine bana 😂😂
Chino selfika kwanza nione km bado umenenepa 😹
Typing error nilitaka kusema km umenenepa mana niliona pic yako ukiwa mwembamba 😂Huyo inn ndo alikuambia chino ni bonge dah haha.
Ipi iyo uliyoiona ili nisije irudia hapa.Typing error nilitaka kusema km umenenepa mana niliona pic yako ukiwa mwembamba 😂
Inni alituma pic zile mlizokuwa mnamtumia bana, haya selfika kabla sijaingia harusini basi
Hata nguvu za kuselfika ninazo basi kuna yoyote aliyetupia?Kapeace ndani ya mjengo😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tunasubiri Selfie
Na Bantu Lady naye tumemmiss sana jamani
Tubakancie Uzi na selfie zenu🔥